Chairperson
Registrar
Mkurugenzi wa Usajili, Leseni na Maadili kutoka TNMC Bi. Jane Mazigo amewataka Wauguzi viongozi kutoka ngazi zote za kutolea huduma za Afya nchini kusimamia vyema huduma za Afya nchini sambamba na kuhakikisha huduma ya Uuguzi
Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) Bi. Agnesi Mtawa, leo amefanya mahojiano na shirika la Utangazaji Tanzania TBC Kupitia kipindi cha Asubuhi kinachofamika kwa jina la Jambo Tanzania. Akizungumza katika mahojiano hayo
Wauguzi na wakunga wapya wapatao 2099 wamekula kiapo cha kuitumikia taaluma hiyo kwa kuzingatia maadili, miiko, sheria na kanuni za uuguzi na ukunga. Wamefikia hatua hiyo baada ya kufaulu mtihani wa Baraza la Uuguzi na
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Dkt. Jonh Jingu, amewaagiza Wasajili wa Mabaraza na Bodi za kitaaluma zilizochini ya Wizara ya Afya, kuimarisha na kusimamia mifumo ya Maadili ya kitaaluma na ya kazi kwa watumishi