THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

TANZANIA NURSING AND MIDWIFERY COUNCIL

Prof. Lilian Msele

Chairperson

Agness Mtawa

Registrar

Register for Graduation

Register for Graduation

Graduation

Graduation

Start Over

News & Events

TNMC YAWATUNUKU VYETI NA LESENI WAUGUZI NA WAKUNGA WAPYA 415.

TNMC YAWATUNUKU VYETI NA LESENI WAUGUZI NA WAKUNGA WAPYA 415.

Mwenyekiti wa baraza alitaka baraza kuendelea kusimamia viwango vya taaluma Muuguzi Mkuu wa Serikali awakaribisha Wauguzi na Wakunga wapya katika kada ya Afya. Wauguzi na wakunga wapya 415 wametunukiwa vyeti na usajili na leseni katika

Read More
WAUGUZI, WAKUNGA WATAKIWA KUFUATA TARATIBU KATIKA CHUMBA CHA UPASUAJI KUEPUKA MAAMBUKIZI.

WAUGUZI, WAKUNGA WATAKIWA KUFUATA TARATIBU KATIKA CHUMBA CHA UPASUAJI KUEPUKA MAAMBUKIZI.

Bi.Salome Kassanga Mkufunzi wa Mafunzo ya chumba cha Upasuaji na Afisa Mwandamizi kutoka TNMC ameyasema hayo wakati wa mafunzo yaliyoandaliwa na uongozi wa mkoa wa Pwani, wakishirikiana na wadau wa Shirika la Korea Foundation for

Read More
MSAJILI TNMC AMEWAPONGEZA WAUGUZI VIONGOZI KWA KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO

MSAJILI TNMC AMEWAPONGEZA WAUGUZI VIONGOZI KWA KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO

Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania Bi.Agnes Mtawa, amewapongeza wauguzi viongozi kwa kuendelea kutoa ushirikiano mkubwa katika utendaji wa majukumu ya Baraza katika maeneo yao ya kazi. “Nitumie fulsa hii kuwapongeza kwa kazi

Read More
TUTATUE MIGOGORO MIDOGOMIDOGO KAZINI KWETU

TUTATUE MIGOGORO MIDOGOMIDOGO KAZINI KWETU

Rais wa Chama cha Wauguzi Tanzania(TANNA) Bwana Alexanda Balulya, amesema kuna umuhimu wa kushirikiana katika utendaji kazi wawapo vituo vya kazi na kuiheshimu tasnia ya Uuguzi na Ukunga nchini. “Ubaguzi wakitaaluma hautakiwi katika utendaji kazi,

Read More
PREV NEXT

Sheria

Sheria No. 1 ya Mwaka 2010

Kanuni

Kanuni za Baraza

Mahitaji ya kuanzisha Chuo

Nursing School Establishment Checklist

MWONGOZO

Nursing and Maternity Home

Some of our Partners