THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

TANZANIA NURSING AND MIDWIFERY COUNCIL

Search

Jumla ya Wauguzi, wakunga na watarajali 134 wamenufaika na Mafunzo ya Maadili pamoja na uhamasishaji kuhusu Maadili katika Hospitali tatu ambazo ni Hosiptali ya Taifa ya Muhimbili, Hospitali tanzu ya Mloganzila na Hospitali ya Tumbi Kibaha Mkaoni Pwani.
Mkurugenzi Ofisi ya Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga kutoka Idara ya Usajili, Leseni na Maadili Bi. Jane Mazigo, ndiye aliyeiwakilisha Ofisi ya Msajili wa Baraza karatibu na kuendesha mafunzo hayo.
Huu ni utaratibu wa kawaida wa (TNMC) katika kutekeleza majukumu yake ya kuzisimamia taaluma za Uuguzi na Ukunga Tanzania.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *