THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

TANZANIA NURSING AND MIDWIFERY COUNCIL

Search

Prof. Lilian Msele

Chairperson

Agness Mtawa

Registrar

Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania Bi. Agnes Mtawa, akiandika Maswali ya Wabunge Katika kikao cha Kamati ya Bunge Afya na UKIMWI.
Heri ya wiki ya Huduma kwa Wateja

News & Events

TNMC YAZINDUA MFUMO WA MAWASILIANO KWA WATEJA

TNMC YAZINDUA MFUMO WA MAWASILIANO KWA WATEJA

Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) leo 11.10.2024 limezindua mfumo wa mawasiliano ya huduma kwa wateja utakao tumika kuwasiliana na umma hususani wadau wake wakuu ambao ni wauguzi na wakunga ndani na nje ya

Read More
CHAMA CHA “WANAFIZIOTHERAPI” CHA ITEMBELEA OFISI YA  MSAJILI TNMC.

CHAMA CHA “WANAFIZIOTHERAPI” CHA ITEMBELEA OFISI YA MSAJILI TNMC.

Viongozi wa Chama cha “wanafiziotherapi” Tanzania (Association of Physiotherapists in Tanzania) leo oktoba 10,2024 wameitembelea ofisi ya Msajili wa Baraza la Uuguzi na Uunga Tanzania kwa lengo la kujifunza mambo mbalimbali ya utendaji kazi wa

Read More
‘Leseni Kwa Muuguzi, Mkunga ni Kibali Cha Utoaji Huduma- Bi.Jane Mazigo.

‘Leseni Kwa Muuguzi, Mkunga ni Kibali Cha Utoaji Huduma- Bi.Jane Mazigo.

“Leseni ni utambulisho kwa muuguzi na mkunga kutoa huduma kwa jamii na ipo kwa mjibu wa Sheria ya Uuguzi na Ukunga ya mwaka 2010 hivyo, ni vyema kwa Muuguzi na Mkunga kuwa na leseni iliyo

Read More
TNMC Kuanzisha Kituo Cha Mawasiliano , Kuboresha Utoaji Huduma Kwa Mteja.

TNMC Kuanzisha Kituo Cha Mawasiliano , Kuboresha Utoaji Huduma Kwa Mteja.

SASA KUTUMIA NAMBA MOJA YA MAWASILIANO. Katika kuboresha huduma kwa mteja, Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania TNMC linaendelea na mchakato wa kunzisha kituo cha mawasiliano na wadau wake hususani wauguzi na wakunga nchini na

Read More
PREV NEXT

Sheria

Sheria No. 1 ya Mwaka 2010

Kanuni

Kanuni za Baraza

Mahitaji ya kuanzisha Chuo

Nursing School Establishment Checklist

MWONGOZO

Nursing and Maternity Home

Some of our Partners