THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

TANZANIA NURSING AND MIDWIFERY COUNCIL

Search

Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania limeandaa Mahafali kwa Wahitimu wote wa Kozi za Uuguzi na Ukunga waliofaulu Mtihani wa Usajili na Leseni uliofanyika tarehe 07/9/2023, Mahafali haya yaliyofanyika katika Ukumbi wa “CATHEDRAL SOCIAL HALL”Jijini-Dodoma
yataambatana na utoaji wa Vyeti vya Usajili na Leseni.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *