THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

TANZANIA NURSING AND MIDWIFERY COUNCIL

Ofisi ya Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania, inawatangazia   wahitimu wote wanaotarajia kufanya mtihani wa Usajili na Leseni, kuwa mtihani unatarajiwa kutafanyika tarehe 23/08/2024.

Kwamba, Dirisha la maombi limefunguliwa lipo wazi toka tarehe 01/07/2024 na litafungwa tarehe 14/08/2024. Maombi yote yafanyike kupitia mtandao kwa kutumia mfumo wa Baraza www.tnmcis.tnmc.go.tz

Waombaji wote mnajulishwa kuzingatia yafuatayo;

Mtihani utafanyika katika vituo vinne (4) ambavyo ni chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) Jijini Dodoma, Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino (SAUT) Jijini Mwanza, Taasi ya Uhasibu Mbeya, Jijinini Mbeya na Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Dar es Salaam (DUCE) Jjijini Dar es Salaam.