Na Ezekiel M. Nyalusi (Iringa) Chama cha Wauguzi Tanzania 11Mei 2025 walipiga kura kwaajili ya kupata uongozi mpya ambapo viongozi mbalimbali wamepatikana, Uchaguzi huo uliofanyika katika Mkutano Mkuu wa chama uliofanyika Mkoani Iringa. Akitangaza Matokeo
Leo 24.04.2025 Wajumbe wa kamati ya Elimu na Maendeleo ya taaluma ya Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania TNMC wanafanya kikao cha kawaida cha robo ya tatu leo katika ukumbi mdogo wa mikutano wa Ofisi
Na Ezekiel M. Nyalusi (Iringa) Chama cha Wauguzi Tanzania 11Mei 2025 walipiga kura kwaajili ya kupata uongozi mpya ambapo viongozi mbalimbali wamepatikana, Uchaguzi huo uliofanyika katika Mkutano Mkuu wa chama uliofanyika Mkoani Iringa. Akitangaza Matokeo hayo mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi huo Bwana Fidelis N. Gaakuba amesema kwa upande wa
Leo 24.04.2025 Wajumbe wa kamati ya Elimu na Maendeleo ya taaluma ya Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania TNMC wanafanya kikao cha kawaida cha robo ya tatu leo katika ukumbi mdogo wa mikutano wa Ofisi za Baraza Jijini Dodoma. Kikao hicho ambacho hufanyika kila robo mwaka kwa lengo la kupitia
Leo 15.04.2025 Wajumbe wa kamati ya kudumu ya Usajili na uorodheshwaji ya Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania TNMC wanaketi kwa kikao cha kawaida cha robo ya tatu ambacho hufanyika kila robo mwaka kupitia utekelezaji wa majukumu ya Baraza kwa kurugenzi ya usajili na leseni. Kamati hii inayoongozwa na Mwenyekiti
Download hapa
Wahitimu wote wa kada za Uuguzi, Ukunga na Utaalamu wa dawa za usingizi na ganzi, wanaotarajia kufanya Mtihani wa Usajili na Leseni, mnatangaziwa kuwa dirisha la maombi litafunguliwa rasmi kuanzia Jumamosi ya tarehe 12.04.2025 hadi Jumatatu ya tarehe 12.05.2025.Maombi yatafanyika kwa njia ya mtandao kwa kutumia mfumo Rasmi wa Baraza
Maelfu ya wananchi kutoka maeneo mbalimbali ya Tanzania leo wamejitokeza kwa wingi kushiriki kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Afya Kitaifa 2025, yanayofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma. Mgeni rasmi katika maadhimisho haya ni Mhe.Waziri wa Afya, Jenista Mhagama , akimuwakilisha Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan,
Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania limekutana na wadau kwa lengo la kutoa taarifa ya namna mtaala mpya ulivyoandaliwa na namna utakavyotumika. kikao hicho kimefanyika leo katika Hoteli ya Protea Jijini Dar es Saalam. Mtaala uliokamilika tangu mwaka 2022 kwa uwezeshaji wa wadau wa maendeleo (UNFPA) ambaye ameonyesha umuhimu wa