THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

TANZANIA NURSING AND MIDWIFERY COUNCIL

Habari
super-admin

WAZIRI MHAGAMA MGENI RASMI WIKI YA AFYA KITAIFA

Maelfu ya wananchi kutoka maeneo mbalimbali ya Tanzania leo wamejitokeza kwa wingi kushiriki kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Afya Kitaifa 2025, yanayofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma. Mgeni rasmi katika maadhimisho haya ni Mhe.Waziri wa Afya, Jenista Mhagama , akimuwakilisha Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan,

Read More »
Habari
super-admin

TNMC WAELIMISHA WADAU MTAALA MPYA WA MAFUNZO YA UUGUZI, UKUNGA NCHINI.

Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania limekutana na wadau kwa lengo la kutoa taarifa ya namna mtaala mpya ulivyoandaliwa na namna utakavyotumika. kikao hicho kimefanyika leo katika Hoteli ya Protea Jijini Dar es Saalam. Mtaala uliokamilika tangu mwaka 2022 kwa uwezeshaji wa wadau wa maendeleo (UNFPA) ambaye ameonyesha umuhimu wa

Read More »
Habari
super-admin

WATARAJALI WAFUNDWA KUZINGATIAMAADILI YA KITAALUMA MAFUNZONI

Watarajali zaidi ya 30 wamekutana Jijini Dodoma kwa lengo la kupata semina elekezi kabla ya kuanza mafunzo kwa vitendo katika maeneo mbalimbali ya kutolea huduma za Afya hapa nchini. Semina hiyo iliyoandaliwa na Kurugenzi ya Maadili, Usajili na leseni kutoka Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania imelenga kuwajengea uwezo wakutoa

Read More »
Habari
super-admin

Wauguzi, Wakunga Endeleni Kubeba Dhamana Kama Serikali Ilivyowekeza 

Wauguzi, Wakunga na Watoa huduma za Afya, wameagizwa kuendelea kubeba dhamana kubwa katika kuwapatia huduma bora  Watanzania kama ambavyo Serikali ya Awamu ya Sita  ya Dkt. Samia Suluhu Hassan ilivyowekeza katika sekta ya afya. Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

Read More »