
TNMC FINANCIAL STATEMENTS 2022-2024
TNMC FINANCIAL STATEMENT 2022 TNMC FINANCIAL STATEMENT 2023 TNMC FINANCIAL STATEMENT 2024
Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) anaufahamisha umma kwamba kikao cha Baraza cha (225) kilichoketi leo 11 Februari 2026 kwa mujibu wa Sheria ya Uuguzi na Ukunga “The Nursing and Midwifery Act,
Wajumbe wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) wakiongozwa na Mwenyekiti wake Prof. Lilian Msele Muuguzi Mbobezi, leo 10 February 2026 wamekutana Jijini Dodoma katika ukumbi mdogo wa mikutano wa Jakaya kwa ajili ya
Zifuatazo ni namba za Mtihani wa kitaifa wa Usajili na Leseni utakaofanyika 19.12.2025 katika Vituo mbalimbali hapa nchi tafadhari kila Kada ina majina na Vituo husika Tazama Namba yako sasa. 1: BACHELOR OF SCIENCE IN
Wajumbe wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania tarehe 25 Novemba 2025 wamekutana Jijini Dodoma katika ukumbi mdogo wa mikutano wa TANAPA kwa lengo la kufanya Kikao cha robo ya kwanza ya mwaka wa fedha

TNMC FINANCIAL STATEMENT 2022 TNMC FINANCIAL STATEMENT 2023 TNMC FINANCIAL STATEMENT 2024

Ofisi ya Msajili inapenda kuwataarifu Wauguzi na Wakunga wahitimu wa Shahada za kwanza za Uuguzi na Ukunga wanaotarajia kujiunga na mafunzo ya Utarajali Mwezi Novemba 2025, kuwa dirisha la maombi kwa njia ya mtandao kupitia mfumo wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania https://tnmcis.tnmc.go.tz/ litafunguliwa kuanzia tarehe 13.10.2025 Saa 4:00

CALL FOR ABSTRACTS AND REGISTRATION THEME:INNOVATIONS AND DIGITAL HEALTH SOLUTIONS: TRANSFORMING NURSING AND MIDWIFERY PRACTICES IN THE 21st Submission portal: https://bit.ly/3W0eBho Deadline for abstract submission:31st October 2025 Registration portal:https://bit.ly/4nV1WZe VENUE: CORRIDOR SPRINGARUSHA – TANZANIA DATE: 26 – 28 TH NOV 2025 REGISTRATION FEEMembers and Non-members = 230, 000TshsStudents = 100,

Menejimenti ya Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) ikiongozwa na Msajili Bi. Agnes Mtawa leo Oktoba 1, 2025 imefanya ziara ya kutembelea eneo la ujenzi wa Ofisi ya Baraza (site visiting) kuangalia hatua za ujenzi wa Ofisi za Baraza. Mradi huo utakaogharimu kiasi cha Shilingi billioni 1.8 za kitanzania

TAARIFA DOWNLOAD HAPA

Zaidi ya wanafunzi 500 watakosa sifa za kuomba mtihani wa usajili na leseni endapo watashindwa kufanya marekebisho muhimu ya maombi ya usajili wa awali (student Indexing) kwenye akaunti zao za mfumo wa Baraza. Aidha yapo mapungufu mbalimbali ikiwa ni pamoja na picha zisizo na ubora na Kutoweka nyaraka muhimu za

Mahafali Ya Kumi Na Nne (14) Ya Kutunuku Vyeti Vya Usajili, Uorodheshwaji Na Leseni Wauguzi Na Wakunga Waliopata Sifa Mahafali yatafanyika Tarehe 17 Septemba 2025 – Ukumbi Wa Chimwaga, Jijini Dodoma. TAZAMA MAJINA HAPA DOWNLOAD HAPA