Chairperson
Registrar
Maofisa wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) Ndimmyake Mwakapiso na Ezekiel Nyalusi, wameanza ziara ya siku saba ya kuzuru vyombo vya Habari Jijini Dar es Salaam. Katika
Wataalamu wa Afya wametakiwa kutumia taaluma na ueledi walionao kwa kuzingatia mafunzo ya chati uchungu ili kupunguza idadi ya vifo vya Mama na Mtoto ambavyo vimekuwa vikijitokeza. Hayo yamesema na Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ametaka Mabaraza ya Madaktari na Wauguzi kuwachukulia hatua Mganga na Muuguzi waliosababisha kifo cha mjamzito Mariam Zahoro kilichotokea Kituo cha Afya Kabuku, Wilaya ya Handeni mkoani Tanga. Mwalimu amesema Mariam
Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania limeendesha Mafunzo ya namna ya kushiriki utoaji huduma katika chumba cha upasuaji kwa Wauguzi na Wakunga katika Hospitali ya St. Benedict iliyopo Ndanda - Halmashauri ya Masasi,Mkoani Mtwara ambapo