Chairperson
Registrar
1. Heshimu Utu uhai.2. Pata idhini ya mteja kabla ya kutoa huduma.3. Timiza wajibu wako na kuwa tayari kuwajibika kwa matendo yako.4. Dumisha weledi na ujiendeleze kitaaluma.5. Uwe mwaminifu na kutoa huduma bila upendeleo.6. Shirikiana
Ofisi ya Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania, inawatangazia wahitimu wote wanaotarajia kufanya mtihani wa Usajili na Leseni, kuwa mtihani unatarajiwa kutafanyika tarehe 23/08/2024. Kwamba, Dirisha la maombi limefunguliwa lipo wazi toka tarehe
Menejimenti ya Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) leo Julai 11, 2024 imefanya ziara ya kutembelea eneo la ujenzi wa Ofisi ya Baraza (site visiting) kuangalia hatua za ujenzi wa Ofisi za Baraza. Ujenzi
Kikosi cha Maafisa kutoka Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) kipo mkoani Tanga kwaajili ya kuhamasisha Maadili, Sheria ya Uuguzi na Ukunga na huduma bora kwa wateja. Pamoja na shughuli hizo watatembelea vyuo vya