THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

TANZANIA NURSING AND MIDWIFERY COUNCIL

Search

Timu ya Uongozi wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) inayoundwa na Msajili ambaye ni Mtendaji Mkuu wa Taasisi, Wakurugenzi, Wakuu wa sehemu na Vitengo, mapema leo 21/02/2024, imezuru eneo ambalo unatekelezwa mradi wa ujenzi wa Ofisi za Baraza eneo la Medeli Jijini Dodoma.

Ikumbukwe kuwa, mnamo tarehe 02/10/2023 Baraza lilitiliana Saini na kamapuni ya (SBS) kujenga Ofisi ya Baraza yenye hadhi ya ghorofa moja jengo ambalo linatarajiwa kukamilika mwezi wa nane mwaka huu na kuanza kutumika, kisha badae Baraza litaendelea na ujenzi wa jengo kubwa la ghorofa nne.

Imetolewa na; Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano TNMC Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *