THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

TANZANIA NURSING AND MIDWIFERY COUNCIL

Matukio
super-admin

NAMBA ZA MTIHANI WA USAJILI NA LESENI 19.12.2025

Zifuatazo ni namba za Mtihani wa kitaifa wa Usajili na Leseni utakaofanyika 19.12.2025 katika Vituo mbalimbali hapa nchi tafadhari kila Kada ina majina na Vituo husika Tazama Namba yako sasa. 1: BACHELOR OF SCIENCE IN MIDWIFERY 2: ALL BSc. NURSING AND BSc. NURSING EDUCATION 3: ALL BACHELOR OF SCIENCE IN

Read More »
TAARIFA KWA UMMA
super-admin

KUFUNGULIWA KWA DIRISHA LA UTARAJALI( INTERNSHIP)

Ofisi ya Msajili inapenda kuwataarifu Wauguzi na Wakunga wahitimu wa Shahada za kwanza za Uuguzi na Ukunga wanaotarajia kujiunga na mafunzo ya Utarajali Mwezi Novemba 2025, kuwa dirisha la maombi kwa njia ya mtandao kupitia mfumo wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania https://tnmcis.tnmc.go.tz/ litafunguliwa kuanzia tarehe 13.10.2025 Saa 4:00

Read More »
TAARIFA KWA UMMA
super-admin

MAJINA YA WANAFUNZI WENYE CHANGAMOTO YA USAJILI WA AWALI (INDEXING)

Zaidi ya wanafunzi 500 watakosa sifa za kuomba mtihani wa usajili na leseni endapo watashindwa kufanya marekebisho muhimu ya maombi ya usajili wa awali (student Indexing) kwenye akaunti zao za mfumo wa Baraza. Aidha yapo mapungufu mbalimbali ikiwa ni pamoja na picha zisizo na ubora na Kutoweka nyaraka muhimu za

Read More »