THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

TANZANIA NURSING AND MIDWIFERY COUNCIL

MATOKEO YA MTIHANI WA USAJILI NA LESENI ULIOFANYIKA TAREHE 23.05.2025

MATOKEO YA MTIHANI WA USAJILI NA LESENI ULIOFANYIKA TAREHE 23.05.2025

Ofisi ya Msajili Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania, kwa mujibu wa Sheria ya Uuguzi na Ukunga "The Nursing and Midwifery Act, 2010" Kifungu cha (6) (a) na (o) inapenda kuwajulisha watahiniwa wote waliofanya Mtihani

super-admin
On June 25, 2025
Baraza Latoa Tahadhari Uwepo Wa Kundi La Watu Ambao Si Waaminifu Wanao Warubuni Wauguzi, Wakunga Kuhusu Kujiendeleza Kitaaluma (CPD)

Baraza Latoa Tahadhari Uwepo Wa Kundi La Watu Ambao Si Waaminifu Wanao Warubuni Wauguzi, Wakunga Kuhusu Kujiendeleza Kitaaluma (CPD)

Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Msajili mapema mwezi juni mwaka huu imewataka wauguzi na wakunga kwa makini na baadhi ya watu wasio na nia njema na taaluma za Uuguzi na Ukunga ambao wanawarubuni wauguzi na

super-admin
On June 11, 2025
MUUGUZI MKUU WA SERIKALI AKUTANA NA MBUNIFU WA “MEDICAL ROBOT BED”

MUUGUZI MKUU WA SERIKALI AKUTANA NA MBUNIFU WA “MEDICAL ROBOT BED”

Leo 04 June 2025 Muuguzi Mkuu wa Serikali Bi. Ziada Sellah amekutana na Muuguzi na Mkunga Edward Tumoyi ambaye mbunifu wa “Medical Robot Bed” ili kuweza kuifahamu kwa kina mfumo huo wa “Medical Robot Bed”

super-admin
On June 4, 2025
KIKAO KAZI CHA KUPITIA MAWANDA (SCOPE OF PRACTICE) YA KADA YA UUGUZI NA UKUNGA TANZANIA

KIKAO KAZI CHA KUPITIA MAWANDA (SCOPE OF PRACTICE) YA KADA YA UUGUZI NA UKUNGA TANZANIA

Timu ya wauguzi na wakunga katika maeneo mbalimbali ya Ubobezi wakutana kwa lengo la kupitia mawanda ya kada ya Uuguzi na Ukunga Tanzania. Akifungua kikao hicho muhimu kinachofanyika katika Ukumbi wa Taasisi ya Afya na

super-admin
On May 29, 2025
Habari
super-admin

NAMBA ZA MTIHANI WA USAJILI NA LESENI MEI, 2025

Zifuatazo ni namba za Mtihani wa kitaifa wa Usajili na Leseni utakaofanyika 23 Mei,2025. BOFYA KUTAZAMA NAMBA YAKO SASA: 01:DODOMA- CHUO KIKUU CHA DODOMA 02:DAR ES SALAAM- CHUO KIKUU CHA KAMPLA 03:MWANZA -TAASISI YA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI-TANDABUI 04: ALL BACHELORS CANDIDATES (KAMPALA,DODOMA AND TANDABUI) 05: ALL CERTIFICATE CANDIDATES

Read More »
Habari
super-admin

CHAMA CHA WAUGUZI TANZANIA (TANNA) WAPATA UONGOZI MPYA

Na Ezekiel M. Nyalusi (Iringa) Chama cha Wauguzi Tanzania 11Mei 2025 walipiga kura kwaajili ya kupata uongozi mpya ambapo viongozi mbalimbali wamepatikana, Uchaguzi huo uliofanyika katika Mkutano Mkuu wa chama uliofanyika Mkoani Iringa. Akitangaza Matokeo hayo mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi huo Bwana Fidelis N. Gaakuba amesema kwa upande wa

Read More »
Habari
super-admin

WAZIRI MHAGAMA MGENI RASMI WIKI YA AFYA KITAIFA

Maelfu ya wananchi kutoka maeneo mbalimbali ya Tanzania leo wamejitokeza kwa wingi kushiriki kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Afya Kitaifa 2025, yanayofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma. Mgeni rasmi katika maadhimisho haya ni Mhe.Waziri wa Afya, Jenista Mhagama , akimuwakilisha Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan,

Read More »