THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

TANZANIA NURSING AND MIDWIFERY COUNCIL

TNMC Habari Yazuru Gazeti la Mwananchi.

Maofisa wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) Ndimmyake Mwakapiso na Ezekiel Nyalusi, wameanza ziara ya siku saba ya kuzuru vyombo vya Habari Jijini Dar es Salaam. Katika siku ya kwanza leo Disemba 11/2023, kitengo kimefanya ziara katika chumba cha uchakataji wa Habari za Gazeti hilo mashuhuri Nchini. […]

Ummy aagiza Daktari na Muuguzi kuchukuliwa hatua

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ametaka Mabaraza ya Madaktari na Wauguzi kuwachukulia hatua Mganga na Muuguzi waliosababisha kifo cha mjamzito Mariam Zahoro kilichotokea Kituo cha Afya Kabuku, Wilaya ya Handeni mkoani Tanga. Mwalimu amesema Mariam hakufariki kwa ajili ya kukosa kiasi cha shilingi 150,000, bali ni kwa ajili ya uzembe wa baadhi ya wahudumu wa […]

MSAJILI WA BARAZA LA UUGUZI NA UKUNGA TANZANIA ATUA MAFIA

MAFIA- Timu ya Maofisa wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania wakiongozwa na Msajili wa Baraza Bi. Agnes Mtawa, mapema leo wamezuru Ofisi ya Mkuu wa Wilaya wa kisiwa cha Mafia kwa lengo la kujitambulisha kabla ya kuanza zoezi la utoaji Elimu ya Sheria na Maadili kwa wauguzi na wakunga wa Wilaya ya Mafia iliyopo […]

NI KOSA KISHERIA KUMTELEKEZA MGONJWA

“Hakuna mtu anayeweza kuacha kitanda nyumbani aseme mimi nataka nikalale Hospitalini, hivi kweli unaacha kitanda chako cha tano kwa sita, ukalale Hospitali?  Kwa hiyo mara nyingi nasema hii kazi yetu ni ya ubinadamu kwa sababu ni lazima uvae viatu vya mgonjwa na hakuna nayejua yatakayompata dakika mbili kuanzia sasa, unaweza kushitukia na wewe umelazwa na […]

WAUGUZI NA WAKUNGA NCHINI WATAKIWA KUWA NA LUGHA NZURI KWA WATEJA

Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Maadili,Usajili na Leseni Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania Bi.Jane Mazigo wakati wa mafunzo na sheria ya uuguzi na ukunga yaliyofanyika Halmashauri ya Kibaha katika ofisi za baraza la uuguzi na ukunga mkoani Pwani. kwa upande wake Mwanasheria wa baraza la uuguzi na ukunga Tanzania Isaya Nkya wakati wa mafunzo […]

“ZINGATIENI MAFUNZO KWA VITENDO- BI.MASENGA”

Wanafunzi wanaosoma taaluma ya Uuguzi na Ukunga katika Vyuo mbalimbali Nchini, wameshauriwa kuzingatia mafunzo kwa vitendo wanapokuwa vyuoni ili kuwa na umahiri unaotakiwa katika taaluma ya Uuguzi na Ukunga pamoja na kufaulu mitihani ya usajili na leseni inayoratibiwa na Baraza. Rai hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa mafunzo na maendeleo ya taaluma wa Baraza la Uuguzi […]

WAJUMBE WA BARAZA WAZURU ENEO LA UJENZI WA OFISI ZA TNMC-DODOMA

Wajumbe wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania leo tarehe 03/10/2023 wametembelea eneo la ujenzi wa Ofisi za Baraza.Wajumbe hao wakiongozwa na Mwenyekiti wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania Profesa Lilian Msele na katibu wa Baraza Bi. Agnes Mtawa, wameonesha kufurahishwa na hatua za awaliza za ujenzi huo. Ujenzi huo unatekelezwa na kampuni yenye […]

TNMC YAENDELEA KUWANOA WAUGUZINA WAKUNGA NCHINI.

Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania limendelea kuwajengea uwezo Wauguzi na Wakunga nchini kwa kuwafundisha jinsi ya kutoa huduma wanaposhiriki zoezi la upasuaji katika chumba cha upasuaji ili kuboresha huduma na mara hii, mafunzo hayo yamefanyika katika Hospitali ya Rufaa ya Ligula Mkoani Mtwara.  Mafunzo hayo yanayowahusisha Madaktari, Wauguzi na Wakunga pamoja na wahudumu wa […]