THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

TANZANIA NURSING AND MIDWIFERY COUNCIL

Search

ZIFAHAMU KANUNI SABA ZA MAADILI YA UUGUZI NA UKUNGA NCHINI.

1. Heshimu Utu uhai.2. Pata idhini ya mteja kabla ya kutoa huduma.3. Timiza wajibu wako na kuwa tayari kuwajibika kwa matendo yako.4. Dumisha weledi na ujiendeleze kitaaluma.5. Uwe mwaminifu na kutoa huduma bila upendeleo.6. Shirikiana na watoa huduma wengine na kufanya kazi kama timu.7. Tunza siri za Mteja/ Mtu unaye mhudumia.

MTIHANI WA USAJILI NA LESENI KUFANYIKA AUGUST 23, 2024

Ofisi ya Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania, inawatangazia   wahitimu wote wanaotarajia kufanya mtihani wa Usajili na Leseni, kuwa mtihani unatarajiwa kutafanyika tarehe 23/08/2024. Kwamba, Dirisha la maombi limefunguliwa lipo wazi toka tarehe 01/07/2024 na litafungwa tarehe 14/08/2024. Maombi yote yafanyike kupitia mtandao kwa kutumia mfumo wa Baraza www.tnmcis.tnmc.go.tz Waombaji wote mnajulishwa kuzingatia […]

UJENZI WA OFISI ZA TNMC DODOMA WAFIKIA 59.9%

Menejimenti ya Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) leo Julai 11, 2024 imefanya ziara ya kutembelea eneo la ujenzi wa Ofisi ya Baraza (site visiting) kuangalia hatua za ujenzi wa Ofisi za Baraza. Ujenzi huo unaotekelezwa na kampuni ya ujenzi ya Strategic Business Solution Limited (SBS) unaendelea katika eneo la Medeli Jijini Dodoma ambapo […]

CHUO KIKUBWA CHA KISASA CHA AFYA KUJENGWA DODOMA

Serikali kupitia Wizara ya Afya imetenga fedha katika Bajeti ya Mwaka 2024/25 kwa ajili ya kujenga chuo kikubwa na cha kisasa cha Afya – Mirembe cha uuguzi na ukunga kitakachokua na vifaa vya kisasa ambacho kitatoa wataala wa kutosha katika Sekta ya Afya. Waziri Ummy amesema hayo leo Juni 12, 2024 alipofanya ziara katika chuo […]

UJENZI WA OFISI ZA TNMC WAFIKIA 52%- DODOMA

Menejimenti ya Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) leo June 06, 2024 imefanya ziara ya kutembelea eneo la ujenzi wa Ofisi ya Baraza (site visiting) kuangalia hatua za ujenzi wa Ofisi za Baraza. Ujenzi huo unaotekelezwa na kampuni ya ujenzi ya Strategic Business Solution Limited (SBS) unaendelea katika eneo la Medeli Jijini Dodoma ambapo […]

WATOA HUDUMA ZA AFYA WATAKIWA KUIMARISHA MAHUDHURIO MAENEO YA KAZI

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Dkt. John Jingu amewawaagiza watumishi na wataalam wote wa Afya nchini kuimarisha mahudhurio kwa kuhakikisha wanakuwepo maeneo yao ya kazi kwa muda stahiki wanaotakiwa kuwapo ili kukabilina na majukumu yao na kuiepusha jamii na madhila ambayo yanaepukika. Dkt.Jingu ameyasema hayo Juni 9, 2024 wakati wa ziara yake ya kushtukiza […]

SERIKALI KUAJIRI WATUMISHIWA AFYA 10,112

Serikali imesema kuwa mwaka ujao wa Fedha itaajiri watumishi wa Afya 10,112 ili kukabiliana na upungufu wa watumishi hasa maeneo ya vijijini. Hayo yameelezwa bungeni, Dodoma na Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) anayeshughulikia Afya Dkt. Festo Dugange wakati akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Khadija Taya […]

WAZAZI TENGENI BAJETI YA KUWANUNULIA TAULO ZA KIKE WATOTO WENU

Na WAF, ARUSHAWazazi na walenzi nchini wametakiwa kuhakikisha wanawawezesha watoto wa kike kila mwezi kupata vifaa vyao vyakujilinda na kuwa na hedhi salama katika muda husika. Rai hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Molel wakati akizungumza kwenye kilele cha maadhimisho ya juma la hedhi Salama Duniani ambayo Kitaifa yameadhimishwa Jijini Arusha. “Wazazi […]