THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

TANZANIA NURSING AND MIDWIFERY COUNCIL

TNMC YAWATUNUKU VYETI NA LESENI WAUGUZI NA WAKUNGA WAPYA 415.

Wauguzi na wakunga wapya 415 wametunukiwa vyeti na usajili na leseni katika Mahafali ya 11 ya kitaaluma  jijini Dodoma. Akifungua Mahafali hayo Mgeni Rasmi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania Prof. Lilian Msele ameipongeza Menejimenti ya Baraza kwa maandalizi ya mahafali hayo huku akiwataka wauguzi na wakunga wapya kwenda kuitumikia […]

WAUGUZI, WAKUNGA WATAKIWA KUFUATA TARATIBU KATIKA CHUMBA CHA UPASUAJI KUEPUKA MAAMBUKIZI.

Bi.Salome Kassanga Mkufunzi wa Mafunzo ya chumba cha Upasuaji na Afisa Mwandamizi kutoka TNMC ameyasema hayo wakati wa mafunzo yaliyoandaliwa na uongozi wa mkoa wa Pwani, wakishirikiana na wadau wa Shirika la Korea Foundation for International Health Care (KOFIH) wakiwa na lengo la kupunguza vifo vitokanavyo na Uzazi na watoto wachanga. “Ni muhimu kufuta taratibu […]

MSAJILI TNMC AMEWAPONGEZA WAUGUZI VIONGOZI KWA KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO

Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania Bi.Agnes Mtawa, amewapongeza wauguzi viongozi kwa kuendelea kutoa ushirikiano mkubwa katika utendaji wa majukumu ya Baraza katika maeneo yao ya kazi. “Nitumie fulsa hii kuwapongeza kwa kazi kubwa mnayoifanya huko kwenye maeneo yenu ninyi ni wasaidizi wangu, fanyeni kazi kupunguza malalamiko ya wateja pia simamieni vyema wauguzi […]

TUTATUE MIGOGORO MIDOGOMIDOGO KAZINI KWETU

Rais wa Chama cha Wauguzi Tanzania(TANNA) Bwana Alexanda Balulya, amesema kuna umuhimu wa kushirikiana katika utendaji kazi wawapo vituo vya kazi na kuiheshimu tasnia ya Uuguzi na Ukunga nchini. “Ubaguzi wakitaaluma hautakiwi katika utendaji kazi, tutunziane heshima na mapungufu ya kitaaluma huku tukiitatua migogoro midogo midogo katika tasnia yetu tusikimbilie kwenye vyombo vya habari” amesema […]

NI LAZIMA TUZALISHE WAUGUZI NA WAKUNGA WENYE WELEDI

“Ilituweze kuboresha huduma ya jamii inatakiwa kuwa na wauguzi wenye sifa ya kuhudumia jamii, “ni kweli tukubali kuwa tupo na shida ya walimu wasio na sifa ya kufundisha wanafunzi haiwezekani mwalimu umetoka chuo ukaenda kufundisha wanafunzi wakati hujawahi kufanya kazi kwa vitendo” Bi. Ziada. Bi.ziada ameongeza kuwa kuna umuhim mkubwa Baraza la Uuguzi na Ukunga […]

TNMC: WAUGUZI VIONGOZI SIMAMIENI VYEMA MAADILI KATIKA VITUO VYENU.

Mkurugenzi wa Usajili, Leseni na Maadili kutoka TNMC Bi. Jane Mazigo amewataka Wauguzi viongozi kutoka ngazi zote za kutolea huduma za Afya nchini kusimamia vyema huduma za Afya nchini sambamba na kuhakikisha huduma ya Uuguzi na Ukunga zinafuata Maadili, taratibu na miongozo ya huduma ya Afya. Hayo ameyasema wakati wa Mkutano wa mwaka wa wauguzi […]

TNMC:WAUGUZI, WAKUNGA WALIOSAJILIWA WAFIKIA 52,000.

Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) Bi. Agnesi Mtawa, leo amefanya mahojiano na shirika la Utangazaji Tanzania TBC Kupitia kipindi cha Asubuhi kinachofamika kwa jina la Jambo Tanzania. Akizungumza katika mahojiano hayo maalum yenye lengo la kuangazia mafanikio ya Baraza kuelekea maadhimisho ya miaka 71 tangu kuanzishwa mwaka 1953, Msajili ametaja baadhi […]

Wauguzi, wakunga 2099 watunukiwa vyeti, leseni za kitaaluma.

Wauguzi na wakunga wapya wapatao 2099 wamekula kiapo cha kuitumikia taaluma hiyo kwa kuzingatia maadili, miiko, sheria na kanuni za uuguzi na ukunga. Wamefikia hatua hiyo baada ya kufaulu mtihani wa Baraza la Uuguzi na Ukunga (TNMC) uliofanyika Desemba 29, 2023 na hivyo kupata sifa za kuorodheshwa, kusajiliwa na kupewa leseni za kutambuliwa rasmi kama […]

Katibu Mkuu Jingu; Wasajili Simamieni Maadili Katika Kada ya Afya

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Dkt. Jonh Jingu, amewaagiza Wasajili wa Mabaraza na Bodi za kitaaluma zilizochini ya Wizara ya Afya, kuimarisha na kusimamia mifumo ya Maadili ya kitaaluma na ya kazi kwa watumishi wa kada ya Afya, kwa kufika katika maeneo yao ya kazi badala ya kusubiri waletewe kesi mezani. Katibu Mkuu, ametoa […]

Waziri Nape aipongeza TNMC kwa kudhamini Mkutano wa TBC.

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari na Mbunge wa Jimbo la Mtama Mkoani Lindi Mheshimiwa Nape Moses Nnauye ametoa pongezi hizo wakati wa ufunguzi wa Mkutano. ulioandaliwa na Shirika la Utangazaji Tanzania TBC ukiwahusianisha watayarishaji wa vipindi vya Elimu kwa Umma ambao unafanyika Jijini Mwanza ambapo Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania wakiwa […]