Waziri wa Afya Mhe. Jenesta Mhagama (Mbunge) amefanya uteuzi na kuzindua Baraza jipya la Uuguzi na Ukunga Tanzania(TNMC) lenye jumla ya wa wajumbe 12 baada ya wajumbe wa Baraza la awali kumaliza muda wao Uteuzi
Waziri wa Afya Mhe. Jenesta Mhagama (Mbunge) amefanya uteuzi na kuzindua Baraza jipya la Uuguzi na Ukunga Tanzania(TNMC) lenye jumla ya wajumbe 12 baada ya wajumbe wa Baraza la awali kumaliza muda wao. Uteuzi wa
Waziri wa Afya Mhe. Jenesta Mhagama (Mbunge) amefanya uteuzi na kuzindua Baraza jipya la Uuguzi na Ukunga Tanzania(TNMC) lenye jumla ya wa wajumbe 12 baada ya wajumbe wa Baraza la awali kumaliza muda wao Uteuzi wa wajumbe 12 wa Baraza ni kwa Mujibu wa kifunga namba 5 – (1) cha
Waziri wa Afya Mhe. Jenesta Mhagama (Mbunge) amefanya uteuzi na kuzindua Baraza jipya la Uuguzi na Ukunga Tanzania(TNMC) lenye jumla ya wajumbe 12 baada ya wajumbe wa Baraza la awali kumaliza muda wao. Uteuzi wa wajumbe 12 wa Baraza ni kwa Mujibu wa kifunga namba 5 – (1) cha Sheria
Jumla ya watahiniwa 5147 waliohitimu katika vyuo mbalimbali, wanatarajiwa kufanya Mtihani wa usajili na leseni unaoratibiwa na Baraza la uuguzi na ukunga Tanzania (TNMC) katika vituo vilivyotengwa kwenye mikoa ya Dodoma, Dar es Salaam, Iringa, Tabora, Mwanza na Arusha. Hilo limebainishwa na Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania,
A: BACHELOR BACHELOR OF SCIENCE IN MIDWIFERY (KITUO CHA:KAMPALA,RUCU,IAA,UDOM,TANDABUI) BACHELOR OF SCIENCE IN NURSING (KITUO CHA: KAMPLA,IAA,RUCU,UDOM,TPC,TANDABUI)BACHELOR OF SCIENCE IN NURSE ANAESTHESIA (KITUO CHA: KAMPALA) B:DIPLOMA INSTITUTE OF ACCOUNTACY ARUSHA: MAIN HALL 2 KAMPALA UNIVERSITY: LECTURE HALL 8 RUAHA CATHOLIC UNIVERSITY -IRINGA: MAIN HALL 1 ST. JOHN’S UNIVERSITY OF TANZANIA:
Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) limewatunuku wauguzi na wakunga 1222 Leseni na vyeti vya kitaaluma hii leo 13.12.2024 katika Mahafali ya 12 ya kitaaluma yaliyofanyika katika ukumbi wa st.peter’s swaswa uliopo Jijini Dodoma. Akihutubia katika hafla ya kitaaluma Mgeni rasmi ambaye ni Mkurugenzi wa Huduma za Uuguzi na
GUSA LINK HAPA CHINI KWA KITUO CHA MLOGANZILA Orodha ya watahiniwa watakaofanya mtihani kituo cha MLOGANZILA GUSA LINK HAPA CHINI KWA KITUO CHA UPANGA Orodha ya watahiniwa watakaofanya mtihani kituo cha UPANGA
Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC), limetoa mafunzo elekezi kwa Madaktari, wauguzi,wakunga na wauguzi wataalamu wa dawa za usingizi na ganzi wanaofanya kazi katika vyumba vya upasuaji pamoja na baadhi ya watumishi kutoka vitengo mbalimbali vya kutolea huduma wapatao 45 katika Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini, juu ya
Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania Bi.Agnes Mtawa anawajulisha kuwa matokeo ya Mtihani wa usajili na leseni uliofanyika tarehe 23 Agosti, 2024 yametolewa tarehe 07 Novemba, 2024 baada ya kukamilisha mchakato wa taratibu za kisheria kwa mujibu wa Sheria ya Uuguzi na Ukunga Tanzania ya mwaka 2010 (The