
Kamati ya Elimu na Maendeleo ya Taaluma – TNMC ya Keti Kikao cha 22 Leo
Leo 24.04.2025 Wajumbe wa kamati ya Elimu na Maendeleo ya taaluma ya Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania TNMC wanafanya kikao cha kawaida cha robo ya tatu leo katika ukumbi mdogo wa mikutano wa Ofisi za Baraza Jijini Dodoma. Kikao hicho ambacho hufanyika kila robo mwaka kwa lengo la kupitia