
Wajumbe Wa Baraza TNMC Waketi Kwa Kikao Cha Robo Ya Kwanza Ya Mwaka Wa Fedha 2025/26 Dodoma
Wajumbe wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania tarehe 25 Novemba 2025 wamekutana Jijini Dodoma katika ukumbi mdogo wa mikutano wa TANAPA kwa lengo la kufanya Kikao cha robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2025/26. Kikao kimeongozwa na Mwenyekiti wa Baraza ambaye ni Prof. Lilian Msele huku katibu wake
