THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

TANZANIA NURSING AND MIDWIFERY COUNCIL

MATOKEO YA MTIHANI WA USAJILI NA LESENI ULIOFANYIKA TAREHE 19.12.2025

MATOKEO YA MTIHANI WA USAJILI NA LESENI ULIOFANYIKA TAREHE 19.12.2025

Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) anaufahamisha umma kwamba kikao cha Baraza cha (225) kilichoketi leo 11 Februari 2026 kwa mujibu wa Sheria ya Uuguzi na Ukunga “The Nursing and Midwifery Act,

super-admin
On February 11, 2026
WAJUMBE WA BARAZA TNMC KATIKA KIKAO KUSIKILIZA TUHUMA ZA KITAALUMA

WAJUMBE WA BARAZA TNMC KATIKA KIKAO KUSIKILIZA TUHUMA ZA KITAALUMA

Wajumbe wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) wakiongozwa na Mwenyekiti wake Prof. Lilian Msele Muuguzi Mbobezi, leo 10 February 2026 wamekutana Jijini Dodoma katika ukumbi mdogo wa mikutano wa Jakaya kwa ajili ya

super-admin
On February 10, 2026
NAMBA ZA MTIHANI WA USAJILI NA LESENI  19.12.2025

NAMBA ZA MTIHANI WA USAJILI NA LESENI 19.12.2025

Zifuatazo ni namba za Mtihani wa kitaifa wa Usajili na Leseni utakaofanyika 19.12.2025 katika Vituo mbalimbali hapa nchi tafadhari kila Kada ina majina na Vituo husika Tazama Namba yako sasa. 1: BACHELOR OF SCIENCE IN

super-admin
On December 15, 2025
Wajumbe Wa Baraza TNMC Waketi Kwa Kikao Cha Robo Ya Kwanza Ya Mwaka Wa Fedha 2025/26 Dodoma

Wajumbe Wa Baraza TNMC Waketi Kwa Kikao Cha Robo Ya Kwanza Ya Mwaka Wa Fedha 2025/26 Dodoma

Wajumbe wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania tarehe 25 Novemba 2025 wamekutana Jijini Dodoma katika ukumbi mdogo wa mikutano wa TANAPA kwa lengo la kufanya Kikao cha robo ya kwanza ya mwaka wa fedha

super-admin
On November 28, 2025
TAARIFA KWA UMMA
super-admin

MATOKEO YA MTIHANI WA USAJILI NA LESENI ULIOFANYIKA TAREHE 19.12.2025

Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) anaufahamisha umma kwamba kikao cha Baraza cha (225) kilichoketi leo 11 Februari 2026 kwa mujibu wa Sheria ya Uuguzi na Ukunga “The Nursing and Midwifery Act, 2010” kifungu cha (6) (a) na (o), kimepitia na kuidhinisha matokeo ya Mtihani wa usajili

Read More »
Habari
super-admin

WAJUMBE WA BARAZA TNMC KATIKA KIKAO KUSIKILIZA TUHUMA ZA KITAALUMA

Wajumbe wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) wakiongozwa na Mwenyekiti wake Prof. Lilian Msele Muuguzi Mbobezi, leo 10 February 2026 wamekutana Jijini Dodoma katika ukumbi mdogo wa mikutano wa Jakaya kwa ajili ya vikao vitavyofanyika kwa siku nne mtawalia maalumu kusikiliza tuhuma mbalimbali zinazowakabili wauguzi na wakunga hapa

Read More »
TAARIFA KWA UMMA
super-admin

NAMBA ZA MTIHANI WA USAJILI NA LESENI 19.12.2025

Zifuatazo ni namba za Mtihani wa kitaifa wa Usajili na Leseni utakaofanyika 19.12.2025 katika Vituo mbalimbali hapa nchi tafadhari kila Kada ina majina na Vituo husika Tazama Namba yako sasa. 1: BACHELOR OF SCIENCE IN MIDWIFERY 2: ALL BSc. NURSING AND BSc. NURSING EDUCATION 3: ALL BACHELOR OF SCIENCE IN

Read More »
TAARIFA KWA UMMA
super-admin

KUFUNGULIWA KWA DIRISHA LA UTARAJALI( INTERNSHIP)

Ofisi ya Msajili inapenda kuwataarifu Wauguzi na Wakunga wahitimu wa Shahada za kwanza za Uuguzi na Ukunga wanaotarajia kujiunga na mafunzo ya Utarajali Mwezi Novemba 2025, kuwa dirisha la maombi kwa njia ya mtandao kupitia mfumo wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania https://tnmcis.tnmc.go.tz/ litafunguliwa kuanzia tarehe 13.10.2025 Saa 4:00

Read More »
Matukio
super-admin

THE 2ND ECSACONM – TANZANIA CHAPTER SCIENTIFIC CONFERENCE 2025

CALL FOR ABSTRACTS AND REGISTRATION THEME:INNOVATIONS AND DIGITAL HEALTH SOLUTIONS: TRANSFORMING NURSING AND MIDWIFERY PRACTICES IN THE 21st Submission portal: https://bit.ly/3W0eBho Deadline for abstract submission:31st October 2025 Registration portal:https://bit.ly/4nV1WZe VENUE: CORRIDOR SPRINGARUSHA – TANZANIA DATE: 26 – 28 TH NOV 2025 REGISTRATION FEEMembers and Non-members = 230, 000TshsStudents = 100,

Read More »
Habari
super-admin

OFISI MPYA ZA TNMC ZIPO KATIKA HATUA YA MWISHO KUKAMILIKA

Menejimenti ya Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) ikiongozwa na Msajili Bi. Agnes Mtawa leo Oktoba 1, 2025 imefanya ziara ya kutembelea eneo la ujenzi wa Ofisi ya Baraza (site visiting) kuangalia hatua za ujenzi wa Ofisi za Baraza. Mradi huo utakaogharimu kiasi cha Shilingi billioni 1.8 za kitanzania

Read More »