Katibu Mkuu Jingu; Wasajili Simamieni Maadili Katika Kada ya Afya
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Dkt. Jonh Jingu, amewaagiza Wasajili wa Mabaraza na Bodi za kitaaluma zilizochini ya Wizara ya Afya, kuimarisha na kusimamia mifumo ya Maadili ya kitaaluma na ya kazi kwa watumishi wa kada ya Afya, kwa kufika katika maeneo yao ya kazi badala ya kusubiri waletewe kesi mezani. Katibu Mkuu, ametoa […]
Waziri Nape aipongeza TNMC kwa kudhamini Mkutano wa TBC.
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari na Mbunge wa Jimbo la Mtama Mkoani Lindi Mheshimiwa Nape Moses Nnauye ametoa pongezi hizo wakati wa ufunguzi wa Mkutano. ulioandaliwa na Shirika la Utangazaji Tanzania TBC ukiwahusianisha watayarishaji wa vipindi vya Elimu kwa Umma ambao unafanyika Jijini Mwanza ambapo Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania wakiwa […]
Menejimenti ya TNMC imezuru eneo la Mradi wa Ujenzi.
Timu ya Uongozi wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) inayoundwa na Msajili ambaye ni Mtendaji Mkuu wa Taasisi, Wakurugenzi, Wakuu wa sehemu na Vitengo, mapema leo 21/02/2024, imezuru eneo ambalo unatekelezwa mradi wa ujenzi wa Ofisi za Baraza eneo la Medeli Jijini Dodoma. Ikumbukwe kuwa, mnamo tarehe 02/10/2023 Baraza lilitiliana Saini na kamapuni […]
Wauguzi, wakunga wapata Mafunzo ya Sheria na Maadili-Geita
Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) limeweka kambi ya siku sita mkoani Geita kwa lengo la utoaji Mafunzo ya Maadili na sheria ya Uuguzi na Ukunga kwa wauguzi na wakunga katika Halmashauri zote Mkoani humo. Ziara hiyo ya kawaida inalengo la kutoa elimu ya Maadili na Sheria kwa wauguzi na wakunga ili kuendelea kutoa […]
TNMC Yatangaza Matokeo ya Usajili na Leseni
Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) limetangaza Matokeo ya Mtihani wa Usajili na Leseni uliofanyika Tarehe 29.12.2024. Akitangaza Matokeo hayo katika Ofisi za Baraza Jijini Dodoma, Msajili wa Baraza Bi.Agnes Mtawa, amesema, Mtihani huo uliofanyika katika vituo nane (8) ambavyo ni Taasisi ya Afya na Sayansi Shirikishi Tandabui-Mwanza, Taasisi ya Afya na Sayansi Shirikishi-Mbalizi, […]
Kikao cha Baraza cha uendeshaji wa Mashitaka yanayowakabili wauguzi,wakunga chafanyika Jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania Prof.Lilian Mselle, ameongoza kikao cha Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania kinachofanyika Ukumbi mdogo wa Mikutano wa Jakaya Kikwete. Kikao hicho cha uendeshaji wa mashitaka huketi na kutolewa maamuzi kwa mujibu wa Sheria ya uuguzi na ukunga. Aidha, kwamujibu wa Sheria hiyo 31(1) Mtu yeyote ambaye hajaridhika […]
Baraza laendesha Mafunzo ya Ushiriki utoaji Huduma katika Chumba cha Upasuaji kwa wauguzi na wakunga.
Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania limeendesha Mafunzo ya namna ya kushiriki utoaji huduma katika chumba cha upasuaji kwa wauguzi na wakunga katika Hospitali ya Mirembe Jijini Dodoma. Akitoa mafunzo hayo Afisa Muuguzi Mbobezi Kitengo Cha Upasuaji Bi. Salome Kassanga amewataka watumishi kuyazingatia yale waliyoyapata kutoka katika mafunzo hayo ili kuhakikisha jamii inapata huduma iliyo […]
WAUGUZI 81 WATUNUKIWA VYETI, LESENI ZA KITAALUMA LEO.
Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania limeandaa Mahafali kwa Wahitimu wa kozi za Uuguzi na Ukunga waliofaulu Mtihani wa Usajili na Leseni uliofanyika tarehe 07.9.2023. Mahafali hayo ya tisa yamefanyika Jijini-Dodoma, ambapo wauguzi na wakunga wapatao 81 wametunukiwa vyeti pamoja na leseni za kutambuliwa rasmi kama wataalam wa kada hizo. Akizungumza wakati wa utoaji wa […]
MAHAFALI YA TISA YA TNMC WAUGUZI, WAKUNGA WATABASAMU
Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania limeandaa Mahafali kwa Wahitimu wote wa Kozi za Uuguzi na Ukunga waliofaulu Mtihani wa Usajili na Leseni uliofanyika tarehe 07/9/2023, Mahafali haya yaliyofanyika katika Ukumbi wa “CATHEDRAL SOCIAL HALL”Jijini-Dodomayataambatana na utoaji wa Vyeti vya Usajili na Leseni.
TAARIFA YA MAHAFALI YA TISA YA KITAALUMA KWA WAUGUZI NA WAKUNGA.
Dodoma-Tanzania 09.01.2024. Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania anawaarifu Wahitimu wote wa Kozi za Uuguzi na Ukunga waliofaulu Mtihani wa Usajili na Leseni uliofanyika tarehe 07/9/2023, Kuwa Mahafali ya kutoa Vyeti vya Usajili na Leseni yatafanyika siku ya Jumanne tarehe 16/1/2024 kuanzia Saa1:00 Asubuhi katika Ukumbi wa “CATHEDRAL SOCIAL HALL”Jijini-Dodoma Maelekezo ya kufika […]