THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

TANZANIA NURSING AND MIDWIFERY COUNCIL

WATARAJALI WAFUNDWA KUZINGATIAMAADILI YA KITAALUMA MAFUNZONI

WATARAJALI WAFUNDWA KUZINGATIAMAADILI YA KITAALUMA MAFUNZONI

Watarajali zaidi ya 30 wamekutana Jijini Dodoma kwa lengo la kupata semina elekezi kabla ya kuanza mafunzo kwa vitendo katika maeneo mbalimbali ya kutolea huduma za Afya hapa nchini. Semina hiyo iliyoandaliwa na Kurugenzi ya

super-admin
On March 28, 2025
Wauguzi, Wakunga Endeleni Kubeba Dhamana Kama Serikali Ilivyowekeza 

Wauguzi, Wakunga Endeleni Kubeba Dhamana Kama Serikali Ilivyowekeza 

Wauguzi, Wakunga na Watoa huduma za Afya, wameagizwa kuendelea kubeba dhamana kubwa katika kuwapatia huduma bora  Watanzania kama ambavyo Serikali ya Awamu ya Sita  ya Dkt. Samia Suluhu Hassan ilivyowekeza katika sekta ya afya. Hayo yamebainishwa

super-admin
On March 27, 2025
TNMC YAADHIMISHA MIAKA 72 NA WATOTO WENYE ULEMAVU – DODOMA

TNMC YAADHIMISHA MIAKA 72 NA WATOTO WENYE ULEMAVU – DODOMA

Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania leo 19 Machi 2025 limefanya maadhimisho ya miaka 72 Tangu kuanzishwa kwake mwaka 1953. Maadhimisho hayo ya kihistoria leo yamefanyika kwa kutembelea kituo cha watoto wenye ulemavu cha Mlali

super-admin
On March 19, 2025
MAADHIMISHO YA MIAKA 72 YA TNMC

MAADHIMISHO YA MIAKA 72 YA TNMC

Kila ifikapo tarehe 19 machi ya kila mwaka Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania Huadhimisha miaka siku ya kuanzishwa kwa taasisi hii. Mwaka huu TNMC inatarajia kuadhimisha miaka 72 tangu kuanzishwa kwake mnamo 19 machi

super-admin
On March 16, 2025
Habari
super-admin

MSAJILI TNMC: INDEXING NI SUALA LA KISHERIA SI MATAKWA YA MTU BINAFSI

Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania Bi. Agness Mtawa amewataka wanafunzi wote wa kada ya Uuguzi na Ukunga nchini kuhakikisha wanakamilisha   usajili wa awali (Student Indexing) ili kuweza kutambulika na mfumo wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania. Hayo ameyasema leo wakati wa kikao kifupi walichokiomba wanafunzi wa

Read More »
Habari
super-admin

BARAZA LATANGAZA MATOKEO YA MTIHANI WA WA USAJILI NA LESENI, UFAULU NI 64%

Akitoa taarifa ya matokeo ya mtihani huu, tarehe 23 Januari, 2025, Jijini Dodoma, Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania Bi. Agnes Mtawa, amebainisha kuwa, jumla ya watahiniwa 5125 walifanya mtihani huu, ambapo watahiniwa 3281 (64%) wamefaulu mtihani na watahiniwa 1844 (36%) hawakuweza kufikia kiwango cha ufaulu kinachokubalika. Aidha,

Read More »
Habari
super-admin

WAUGUZI, WAKUNGA WAKUMBUSHWA JUU MAFUNZO YA KUJIENDELEZA KITAALUMA.

Akizungumza na TNMC Habari akiwa ofisini kwake jijini Dodoma, Mkurugenzi wa Maendeleo ya taaluma TNMC Bi.Happpy Massenga amesema Mafunzo ya kujiendeleza kitaaluma ni mchanganyiko wa shughuli mbali mbali za mafunzo anayopata mtaaluma ili kujenga umahiri na kuimarisha uwezo wake wa kutoa huduma bora. Mafunzo haya yanajumuisha kujifunza kila siku mambo

Read More »