TNMC FINANCIAL STATEMENT 2022 TNMC FINANCIAL STATEMENT 2023 TNMC FINANCIAL STATEMENT 2024
Ofisi ya Msajili inapenda kuwataarifu Wauguzi na Wakunga wahitimu wa Shahada za kwanza za Uuguzi na Ukunga wanaotarajia kujiunga na mafunzo ya Utarajali Mwezi Novemba 2025, kuwa dirisha la maombi kwa njia ya mtandao kupitia

Leo, Agosti 04,2025 Menejimenti ya Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania imepata mafunzo kuhusu ripoti endelevu na viwango vya kimataifa vya uhasibu sekta ya umma (IPSAS). Mafunzo hayo yanayotolewa na CPA DR. NEEMA KIURE yanatarajiwa kufanyika kwa siku tano yanalenga kuwaongezea uelewa kwa menejimenti ya TNMC juu ya ripoti endelevu

Ofisi ya Msajili Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania, kwa mujibu wa Sheria ya Uuguzi na Ukunga “The Nursing and Midwifery Act, 2010” Kifungu cha (6) (a) na (o) inapenda kuwajulisha watahiniwa wote waliofanya Mtihani wa usajili na leseni tarehe 23.05.2025, kuwa matokeo ya Mtihani huu yametolewa leo tarehe 25

Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Msajili mapema mwezi juni mwaka huu imewataka wauguzi na wakunga kwa makini na baadhi ya watu wasio na nia njema na taaluma za Uuguzi na Ukunga ambao wanawarubuni wauguzi na wakunga wakiwataka kutoa kiasi cha Fedha ili wawaweze kuwasomewa mafunzo ya kujiendeleza kitaaluma (CPD) jambo

Leo 04 June 2025 Muuguzi Mkuu wa Serikali Bi. Ziada Sellah amekutana na Muuguzi na Mkunga Edward Tumoyi ambaye mbunifu wa “Medical Robot Bed” ili kuweza kuifahamu kwa kina mfumo huo wa “Medical Robot Bed” namna unavyofanya na kutoa usaidizi katika utoaji huduma katima maeneo ya Afya. Kikao kifupi hicho

Timu ya wauguzi na wakunga katika maeneo mbalimbali ya Ubobezi wakutana kwa lengo la kupitia mawanda ya kada ya Uuguzi na Ukunga Tanzania. Akifungua kikao hicho muhimu kinachofanyika katika Ukumbi wa Taasisi ya Afya na Sayansi Shirikishi Dodoma, Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania Bi.Agnes Mtawa amewapongeza washiriki

TAARIFA KWA UMMA

GUSA HAPA KUTAZAMA NAMBA YA MTIHANI WA USAJILI NA LESENI

Zifuatazo ni namba za Mtihani wa kitaifa wa Usajili na Leseni utakaofanyika 23 Mei,2025. BOFYA KUTAZAMA NAMBA YAKO SASA: 01:DODOMA- CHUO KIKUU CHA DODOMA 02:DAR ES SALAAM- CHUO KIKUU CHA KAMPLA 03:MWANZA -TAASISI YA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI-TANDABUI 04: ALL BACHELORS CANDIDATES (KAMPALA,DODOMA AND TANDABUI) 05: ALL CERTIFICATE CANDIDATES