
NAMBA ZA MTIHANI WA USAJILI NA LESENI MEI, 2025
GUSA HAPA KUTAZAMA NAMBA YA MTIHANI WA USAJILI NA LESENI
Zaidi ya wanafunzi 500 watakosa sifa za kuomba mtihani wa usajili na leseni endapo watashindwa kufanya marekebisho muhimu ya maombi ya usajili wa awali (student Indexing) kwenye akaunti zao za mfumo wa Baraza. Aidha yapo
Mahafali Ya Kumi Na Nne (14) Ya Kutunuku Vyeti Vya Usajili, Uorodheshwaji Na Leseni Wauguzi Na Wakunga Waliopata Sifa Mahafali yatafanyika Tarehe 17 Septemba 2025 - Ukumbi Wa Chimwaga, Jijini Dodoma. TAZAMA MAJINA HAPA DOWNLOAD

GUSA HAPA KUTAZAMA NAMBA YA MTIHANI WA USAJILI NA LESENI

Zifuatazo ni namba za Mtihani wa kitaifa wa Usajili na Leseni utakaofanyika 23 Mei,2025. BOFYA KUTAZAMA NAMBA YAKO SASA: 01:DODOMA- CHUO KIKUU CHA DODOMA 02:DAR ES SALAAM- CHUO KIKUU CHA KAMPLA 03:MWANZA -TAASISI YA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI-TANDABUI 04: ALL BACHELORS CANDIDATES (KAMPALA,DODOMA AND TANDABUI) 05: ALL CERTIFICATE CANDIDATES

Na Ezekiel M. Nyalusi (Iringa) Chama cha Wauguzi Tanzania 11Mei 2025 walipiga kura kwaajili ya kupata uongozi mpya ambapo viongozi mbalimbali wamepatikana, Uchaguzi huo uliofanyika katika Mkutano Mkuu wa chama uliofanyika Mkoani Iringa. Akitangaza Matokeo hayo mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi huo Bwana Fidelis N. Gaakuba amesema kwa upande wa

Leo 24.04.2025 Wajumbe wa kamati ya Elimu na Maendeleo ya taaluma ya Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania TNMC wanafanya kikao cha kawaida cha robo ya tatu leo katika ukumbi mdogo wa mikutano wa Ofisi za Baraza Jijini Dodoma. Kikao hicho ambacho hufanyika kila robo mwaka kwa lengo la kupitia

Leo 15.04.2025 Wajumbe wa kamati ya kudumu ya Usajili na uorodheshwaji ya Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania TNMC wanaketi kwa kikao cha kawaida cha robo ya tatu ambacho hufanyika kila robo mwaka kupitia utekelezaji wa majukumu ya Baraza kwa kurugenzi ya usajili na leseni. Kamati hii inayoongozwa na Mwenyekiti
Download hapa

Wahitimu wote wa kada za Uuguzi, Ukunga na Utaalamu wa dawa za usingizi na ganzi, wanaotarajia kufanya Mtihani wa Usajili na Leseni, mnatangaziwa kuwa dirisha la maombi litafunguliwa rasmi kuanzia Jumamosi ya tarehe 12.04.2025 hadi Jumatatu ya tarehe 12.05.2025.Maombi yatafanyika kwa njia ya mtandao kwa kutumia mfumo Rasmi wa Baraza