
KUFUNGULIWA KWA DIRISHA LA MAOMBI YA MTIHANIWA USAJILI NA LESENI APRILI, 2025
Wahitimu wote wa kada za Uuguzi, Ukunga na Utaalamu wa dawa za usingizi na ganzi, wanaotarajia kufanya Mtihani wa Usajili na Leseni, mnatangaziwa kuwa dirisha la maombi litafunguliwa rasmi kuanzia Jumamosi ya tarehe 12.04.2025 hadi Jumatatu ya tarehe 12.05.2025.Maombi yatafanyika kwa njia ya mtandao kwa kutumia mfumo Rasmi wa Baraza