THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

TANZANIA NURSING AND MIDWIFERY COUNCIL

Baraza Latoa Tahadhari Uwepo Wa Kundi La Watu Ambao Si Waaminifu Wanao Warubuni Wauguzi, Wakunga Kuhusu Kujiendeleza Kitaaluma (CPD)

Baraza Latoa Tahadhari Uwepo Wa Kundi La Watu Ambao Si Waaminifu Wanao Warubuni Wauguzi, Wakunga Kuhusu Kujiendeleza Kitaaluma (CPD)

Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Msajili mapema mwezi juni mwaka huu imewataka wauguzi na wakunga kwa makini na baadhi ya watu wasio na nia njema na taaluma za Uuguzi na Ukunga ambao wanawarubuni wauguzi na

super-admin
On June 11, 2025
MUUGUZI MKUU WA SERIKALI AKUTANA NA MBUNIFU WA “MEDICAL ROBOT BED”

MUUGUZI MKUU WA SERIKALI AKUTANA NA MBUNIFU WA “MEDICAL ROBOT BED”

Leo 04 June 2025 Muuguzi Mkuu wa Serikali Bi. Ziada Sellah amekutana na Muuguzi na Mkunga Edward Tumoyi ambaye mbunifu wa “Medical Robot Bed” ili kuweza kuifahamu kwa kina mfumo huo wa “Medical Robot Bed”

super-admin
On June 4, 2025
KIKAO KAZI CHA KUPITIA MAWANDA (SCOPE OF PRACTICE) YA KADA YA UUGUZI NA UKUNGA TANZANIA

KIKAO KAZI CHA KUPITIA MAWANDA (SCOPE OF PRACTICE) YA KADA YA UUGUZI NA UKUNGA TANZANIA

Timu ya wauguzi na wakunga katika maeneo mbalimbali ya Ubobezi wakutana kwa lengo la kupitia mawanda ya kada ya Uuguzi na Ukunga Tanzania. Akifungua kikao hicho muhimu kinachofanyika katika Ukumbi wa Taasisi ya Afya na

super-admin
On May 29, 2025
PENATI KWA WASIO HUISHA LESENI ZA KITAALUMAMWAKA FEDHA 2024/2025

PENATI KWA WASIO HUISHA LESENI ZA KITAALUMAMWAKA FEDHA 2024/2025

Download here

super-admin
On May 27, 2025
Habari
super-admin

WAZIRI MHAGAMA MGENI RASMI WIKI YA AFYA KITAIFA

Maelfu ya wananchi kutoka maeneo mbalimbali ya Tanzania leo wamejitokeza kwa wingi kushiriki kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Afya Kitaifa 2025, yanayofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma. Mgeni rasmi katika maadhimisho haya ni Mhe.Waziri wa Afya, Jenista Mhagama , akimuwakilisha Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan,

Read More »
Habari
super-admin

TNMC WAELIMISHA WADAU MTAALA MPYA WA MAFUNZO YA UUGUZI, UKUNGA NCHINI.

Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania limekutana na wadau kwa lengo la kutoa taarifa ya namna mtaala mpya ulivyoandaliwa na namna utakavyotumika. kikao hicho kimefanyika leo katika Hoteli ya Protea Jijini Dar es Saalam. Mtaala uliokamilika tangu mwaka 2022 kwa uwezeshaji wa wadau wa maendeleo (UNFPA) ambaye ameonyesha umuhimu wa

Read More »
Habari
super-admin

WATARAJALI WAFUNDWA KUZINGATIAMAADILI YA KITAALUMA MAFUNZONI

Watarajali zaidi ya 30 wamekutana Jijini Dodoma kwa lengo la kupata semina elekezi kabla ya kuanza mafunzo kwa vitendo katika maeneo mbalimbali ya kutolea huduma za Afya hapa nchini. Semina hiyo iliyoandaliwa na Kurugenzi ya Maadili, Usajili na leseni kutoka Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania imelenga kuwajengea uwezo wakutoa

Read More »
Habari
super-admin

Wauguzi, Wakunga Endeleni Kubeba Dhamana Kama Serikali Ilivyowekeza 

Wauguzi, Wakunga na Watoa huduma za Afya, wameagizwa kuendelea kubeba dhamana kubwa katika kuwapatia huduma bora  Watanzania kama ambavyo Serikali ya Awamu ya Sita  ya Dkt. Samia Suluhu Hassan ilivyowekeza katika sekta ya afya. Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

Read More »
Habari
super-admin

TNMC YAADHIMISHA MIAKA 72 NA WATOTO WENYE ULEMAVU – DODOMA

Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania leo 19 Machi 2025 limefanya maadhimisho ya miaka 72 Tangu kuanzishwa kwake mwaka 1953. Maadhimisho hayo ya kihistoria leo yamefanyika kwa kutembelea kituo cha watoto wenye ulemavu cha Mlali kilichopo wilayani Kongwa Dodoma. Akizungumza katika hotuba yake kaimu Msajili TNMC Bi. Irene Chilewa amesema

Read More »
Habari
super-admin

MAADHIMISHO YA MIAKA 72 YA TNMC

Kila ifikapo tarehe 19 machi ya kila mwaka Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania Huadhimisha miaka siku ya kuanzishwa kwa taasisi hii. Mwaka huu TNMC inatarajia kuadhimisha miaka 72 tangu kuanzishwa kwake mnamo 19 machi 1953 kwa kutembelea na kutoa misaada ya kibinadamu katika kituo cha watoto walemavu cha Mlali

Read More »
Habari
super-admin

DKT. NTULI AIBUKA MSHINDI UKURUGENZI MKUU ECSA-HC

Mkurugenzi wa Kinga wa Wizara ya Afya kutoka Tanzania Dkt. Ntuli Kapologwe, ameibuka mshindi wa nafasi ya Mkurugenzi Mkuu wa Jumuiya ya Afya ya Nchi za Afrika Mashariki, Kati, na Kusini (ECSA – HC) na kuwashinda wagombea wengine sita waliokuwa wakiwania nafasi hiyo. Dkt. Ntuli anachukua nafasi hiyo kutoka kwa

Read More »