
KITABU CHA WAHITIMU MAHAFALI YA 15 YA KITAALUMA MARCH 2026.
TAZAMA ORODHA YA WAHITIMU HAPA
Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) anaufahamisha umma kwamba kikao cha Baraza cha (225) kilichoketi leo 11 Februari 2026 kwa mujibu wa Sheria ya Uuguzi na Ukunga “The Nursing and Midwifery Act,

TAZAMA ORODHA YA WAHITIMU HAPA

Gusa Hapa Kuisoma Taarifa kwa kina

Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) anaufahamisha umma kwamba kikao cha Baraza cha (225) kilichoketi leo 11 Februari 2026 kwa mujibu wa Sheria ya Uuguzi na Ukunga “The Nursing and Midwifery Act, 2010” kifungu cha (6) (a) na (o), kimepitia na kuidhinisha matokeo ya Mtihani wa usajili

Wajumbe wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) wakiongozwa na Mwenyekiti wake Prof. Lilian Msele Muuguzi Mbobezi, leo 10 February 2026 wamekutana Jijini Dodoma katika ukumbi mdogo wa mikutano wa Jakaya kwa ajili ya vikao vitavyofanyika kwa siku nne mtawalia maalumu kusikiliza tuhuma mbalimbali zinazowakabili wauguzi na wakunga hapa

Zifuatazo ni namba za Mtihani wa kitaifa wa Usajili na Leseni utakaofanyika 19.12.2025 katika Vituo mbalimbali hapa nchi tafadhari kila Kada ina majina na Vituo husika Tazama Namba yako sasa. 1: BACHELOR OF SCIENCE IN MIDWIFERY 2: ALL BSc. NURSING AND BSc. NURSING EDUCATION 3: ALL BACHELOR OF SCIENCE IN

Wajumbe wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania tarehe 25 Novemba 2025 wamekutana Jijini Dodoma katika ukumbi mdogo wa mikutano wa TANAPA kwa lengo la kufanya Kikao cha robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2025/26. Kikao kimeongozwa na Mwenyekiti wa Baraza ambaye ni Prof. Lilian Msele huku katibu wake


TNMC FINANCIAL STATEMENT 2022 TNMC FINANCIAL STATEMENT 2023 TNMC FINANCIAL STATEMENT 2024