MAFUNZO KUHUSU RIPOTI ENDELEVU NA VIWANGO VYA KIMATAIFA VYA UHASIBU SEKTA YA UMMA (IPSAS)

Leo, Agosti 04,2025 Menejimenti ya Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania imepata mafunzo kuhusu ripoti endelevu na viwango vya kimataifa vya uhasibu sekta ya umma (IPSAS). Mafunzo hayo yanayotolewa na CPA DR. NEEMA KIURE yanatarajiwa kufanyika kwa siku tano yanalenga kuwaongezea uelewa kwa menejimenti ya TNMC juu ya ripoti endelevu na viwango vya kimataifa vya […]

MATOKEO YA MTIHANI WA USAJILI NA LESENI ULIOFANYIKA TAREHE 23.05.2025

Ofisi ya Msajili Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania, kwa mujibu wa Sheria ya Uuguzi na Ukunga “The Nursing and Midwifery Act, 2010” Kifungu cha (6) (a) na (o) inapenda kuwajulisha watahiniwa wote waliofanya Mtihani wa usajili na leseni tarehe 23.05.2025, kuwa matokeo ya Mtihani huu yametolewa leo tarehe 25 Juni, 2025 Jijini Dodoma.Matokeo yanapatikana […]

MUUGUZI MKUU WA SERIKALI AKUTANA NA MBUNIFU WA “MEDICAL ROBOT BED”

Leo 04 June 2025 Muuguzi Mkuu wa Serikali Bi. Ziada Sellah amekutana na Muuguzi na Mkunga Edward Tumoyi ambaye mbunifu wa “Medical Robot Bed” ili kuweza kuifahamu kwa kina mfumo huo wa “Medical Robot Bed” namna unavyofanya na kutoa usaidizi katika utoaji huduma katima maeneo ya Afya. Kikao kifupi hicho kilichofanyika katika Ukumbi mdogo wa […]

KIKAO KAZI CHA KUPITIA MAWANDA (SCOPE OF PRACTICE) YA KADA YA UUGUZI NA UKUNGA TANZANIA

Timu ya wauguzi na wakunga katika maeneo mbalimbali ya Ubobezi wakutana kwa lengo la kupitia mawanda ya kada ya Uuguzi na Ukunga Tanzania. Akifungua kikao hicho muhimu kinachofanyika katika Ukumbi wa Taasisi ya Afya na Sayansi Shirikishi Dodoma, Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania Bi.Agnes Mtawa amewapongeza washiriki kwa kuitikia wito huo, huku […]