THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

TANZANIA NURSING AND MIDWIFERY COUNCIL

UTARATIBU WA KUTOA MATOKEO YA MWISHO YA MITIHANI(RESULTS TRANSCRIPTS)

UTARATIBU WA KUTOA MATOKEO YA MWISHO YA MITIHANI(RESULTS TRANSCRIPTS)

super-admin
On January 30, 2025
CHAMA CHA WAKUNGA TANZANIA (TAMA) CHAPATA ITHIBATI UTOAJI WA MAFUNZO YA KUJIENDELEZA KITAALUMA (CPD)

CHAMA CHA WAKUNGA TANZANIA (TAMA) CHAPATA ITHIBATI UTOAJI WA MAFUNZO YA KUJIENDELEZA KITAALUMA (CPD)

Kwa niaba ya Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga, Mkunga Mbobezi na Mratibu wa Mafunzo ya Kujiendeleza Kitaaluma Bi. Mwajuma Mutabazi amekabidhi Cheti cha ithibati ya Moduli sita za mafunzo ya kujiendeleza kitaaluma (CPD)

super-admin
On January 30, 2025
TAARIFA YA MATOKEO YA MTIHANI WA USAJILI NA LESENI ULIOFANYIKA 20.12.2024

TAARIFA YA MATOKEO YA MTIHANI WA USAJILI NA LESENI ULIOFANYIKA 20.12.2024

super-admin
On January 24, 2025
BARAZA LATANGAZA MATOKEO YA  MTIHANI WA  WA USAJILI NA LESENI, UFAULU NI  64%

BARAZA LATANGAZA MATOKEO YA MTIHANI WA WA USAJILI NA LESENI, UFAULU NI 64%

Akitoa taarifa ya matokeo ya mtihani huu, tarehe 23 Januari, 2025, Jijini Dodoma, Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania Bi. Agnes Mtawa, amebainisha kuwa, jumla ya watahiniwa 5125 walifanya mtihani huu, ambapo watahiniwa

super-admin
On January 24, 2025
Uncategorized
super-admin

CHAMA CHA “WANAFIZIOTHERAPI” CHA ITEMBELEA OFISI YA MSAJILI TNMC.

Viongozi wa Chama cha “wanafiziotherapi” Tanzania (Association of Physiotherapists in Tanzania) leo oktoba 10,2024 wameitembelea ofisi ya Msajili wa Baraza la Uuguzi na Uunga Tanzania kwa lengo la kujifunza mambo mbalimbali ya utendaji kazi wa TNMC. Pamoja na mambo mengine mengi Viongozi hao ndg. Jerusalem Makotore(kulia) ambaye ni Mhazini na

Read More »
Uncategorized
super-admin

TNMC Kuanzisha Kituo Cha Mawasiliano , Kuboresha Utoaji Huduma Kwa Mteja.

SASA KUTUMIA NAMBA MOJA YA MAWASILIANO. Katika kuboresha huduma kwa mteja, Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania TNMC linaendelea na mchakato wa kunzisha kituo cha mawasiliano na wadau wake hususani wauguzi na wakunga nchini na duniani kwa ujmla, machakato ambao unatarajiwa kukamilika na kuanza kutumika mapema mwezi huu Oktoba 2024.

Read More »
Uncategorized
super-admin

TNMC Yashiriki Mkutano wa ECSACON Lesotho

TNMC ikiwakilishwa na Msajili Bi. Agnes Mtawa, pamoja na maafisa waandamizi  ambao ni Salome Kassanga na Irene Chilewa, imeshiriki Mkutano wa kimataifa wa kisayansi unaoratibiwa na jumuiya ya ECSACON  nchini Lesotho  kuanzia tarehe 11 hadi 13 Septemba 2024 kwa lengo la kubadilishana  elimu, uzoefu na kuboresha utoaji huduma katika sekta

Read More »
Uncategorized
super-admin

Wizara ya Afya na Taasisi zake zatwaa Tuzo Maonesho ya Nanenane.

Wizara ya Afya na taasisi zake imetwaa Tuzo ya Wizara Mtambuka kwa kushika nafasi ya Tatu katika Maonesho Kimataifa ya Nane Nane 2024 Jijini Dodoma. Tuzo hiyo ambayo imetolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan imekabidhiwa siku moja kabla yakukamilika kwa Maonesho hayo

Read More »