THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

TANZANIA NURSING AND MIDWIFERY COUNCIL

WAUGUZI, WAKUNGA WAKUMBUSHWA JUU MAFUNZO YA KUJIENDELEZA KITAALUMA.

WAUGUZI, WAKUNGA WAKUMBUSHWA JUU MAFUNZO YA KUJIENDELEZA KITAALUMA.

Akizungumza na TNMC Habari akiwa ofisini kwake jijini Dodoma, Mkurugenzi wa Maendeleo ya taaluma TNMC Bi.Happpy Massenga amesema Mafunzo ya kujiendeleza kitaaluma ni mchanganyiko wa shughuli mbali mbali za mafunzo anayopata mtaaluma ili kujenga umahiri

super-admin
On January 20, 2025
TAARIFA JUU YA MAFUNZO YA KUJIENDELEZA (CPD)

TAARIFA JUU YA MAFUNZO YA KUJIENDELEZA (CPD)

TAARIFA JUU MAFUNZO YA KUJIENDELEZA CPD

super-admin
On January 19, 2025
HABARI PICHA: UZINDUZI WA BARAZA LA 63 TNMC

HABARI PICHA: UZINDUZI WA BARAZA LA 63 TNMC

super-admin
On January 16, 2025
HAWA HAPA WAJUMBE WA BARAZA LA UUGUZI NA UKUNGA TANZANIA (TNMC)

HAWA HAPA WAJUMBE WA BARAZA LA UUGUZI NA UKUNGA TANZANIA (TNMC)

Waziri wa Afya Mhe. Jenesta Mhagama (Mbunge) amefanya uteuzi na kuzindua Baraza jipya la Uuguzi na Ukunga Tanzania(TNMC) lenye jumla ya   wa wajumbe 12 baada ya wajumbe wa Baraza la awali kumaliza muda wao Uteuzi

super-admin
On January 16, 2025
Uncategorized
super-admin

ZIFAHAMU KANUNI SABA ZA MAADILI YA UUGUZI NA UKUNGA NCHINI.

1. Heshimu Utu uhai.2. Pata idhini ya mteja kabla ya kutoa huduma.3. Timiza wajibu wako na kuwa tayari kuwajibika kwa matendo yako.4. Dumisha weledi na ujiendeleze kitaaluma.5. Uwe mwaminifu na kutoa huduma bila upendeleo.6. Shirikiana na watoa huduma wengine na kufanya kazi kama timu.7. Tunza siri za Mteja/ Mtu unaye

Read More »
Uncategorized
super-admin

MTIHANI WA USAJILI NA LESENI KUFANYIKA AUGUST 23, 2024

Ofisi ya Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania, inawatangazia   wahitimu wote wanaotarajia kufanya mtihani wa Usajili na Leseni, kuwa mtihani unatarajiwa kutafanyika tarehe 23/08/2024. Kwamba, Dirisha la maombi limefunguliwa lipo wazi toka tarehe 01/07/2024 na litafungwa tarehe 14/08/2024. Maombi yote yafanyike kupitia mtandao kwa kutumia mfumo wa Baraza

Read More »
Uncategorized
super-admin

UJENZI WA OFISI ZA TNMC DODOMA WAFIKIA 59.9%

Menejimenti ya Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) leo Julai 11, 2024 imefanya ziara ya kutembelea eneo la ujenzi wa Ofisi ya Baraza (site visiting) kuangalia hatua za ujenzi wa Ofisi za Baraza. Ujenzi huo unaotekelezwa na kampuni ya ujenzi ya Strategic Business Solution Limited (SBS) unaendelea katika eneo

Read More »
Uncategorized
super-admin

CHUO KIKUBWA CHA KISASA CHA AFYA KUJENGWA DODOMA

Serikali kupitia Wizara ya Afya imetenga fedha katika Bajeti ya Mwaka 2024/25 kwa ajili ya kujenga chuo kikubwa na cha kisasa cha Afya – Mirembe cha uuguzi na ukunga kitakachokua na vifaa vya kisasa ambacho kitatoa wataala wa kutosha katika Sekta ya Afya. Waziri Ummy amesema hayo leo Juni 12,

Read More »
Uncategorized
super-admin

UJENZI WA OFISI ZA TNMC WAFIKIA 52%- DODOMA

Menejimenti ya Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) leo June 06, 2024 imefanya ziara ya kutembelea eneo la ujenzi wa Ofisi ya Baraza (site visiting) kuangalia hatua za ujenzi wa Ofisi za Baraza. Ujenzi huo unaotekelezwa na kampuni ya ujenzi ya Strategic Business Solution Limited (SBS) unaendelea katika eneo

Read More »