THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

TANZANIA NURSING AND MIDWIFERY COUNCIL

NAMBA ZA MTIHANI WA USAJILI NA LESENI MEI, 2025

NAMBA ZA MTIHANI WA USAJILI NA LESENI MEI, 2025

Zifuatazo ni namba za Mtihani wa kitaifa wa Usajili na Leseni utakaofanyika 23 Mei,2025. BOFYA KUTAZAMA NAMBA YAKO SASA: 01:DODOMA- CHUO KIKUU CHA DODOMA 02:DAR ES SALAAM- CHUO KIKUU CHA KAMPLA 03:MWANZA -TAASISI YA AFYA

super-admin
On May 17, 2025
MABADILIKO YA KITUO CHA MTIHANI WA USAJILI NA LESENI KWA MKOA WA DODOMA KUTOKA ST. JOHN KWENDA (UDOM)TAARIFA KWA UMMA

MABADILIKO YA KITUO CHA MTIHANI WA USAJILI NA LESENI KWA MKOA WA DODOMA KUTOKA ST. JOHN KWENDA (UDOM)TAARIFA KWA UMMA

super-admin
On May 15, 2025
CHAMA CHA WAUGUZI TANZANIA (TANNA) WAPATA UONGOZI MPYA

CHAMA CHA WAUGUZI TANZANIA (TANNA) WAPATA UONGOZI MPYA

Na Ezekiel M. Nyalusi (Iringa) Chama cha Wauguzi Tanzania 11Mei 2025 walipiga kura kwaajili ya kupata uongozi mpya ambapo viongozi mbalimbali wamepatikana, Uchaguzi huo uliofanyika katika Mkutano Mkuu wa chama uliofanyika Mkoani Iringa. Akitangaza Matokeo

super-admin
On May 12, 2025
MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA

MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA

DOWNLOAD HERE

super-admin
On April 30, 2025
Matukio
super-admin

MAADHIMISHO YA MIAKA 72 YA TNMC

Kila ifikapo tarehe 19 machi ya kila mwaka Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania Huadhimisha miaka siku ya kuanzishwa kwa taasisi hii. Mwaka huu TNMC inatarajia kuadhimisha miaka 72 tangu kuanzishwa kwake mnamo 19 machi 1953 kwa kutembelea na kutoa misaada ya kibinadamu katika kituo cha watoto walemavu cha Mlali

Read More »
Matukio
super-admin

MAHALI YA 13 YA KITAALUMA

Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania anawatangazia Watahiniwa wote wa kada za Uuguzi na Ukunga waliofanya Mtihani wa Usajili na Leseni tarehe 20.12.2024 na kufaulu kuwa, Mahafali ya 13 ya kutunuku Vyeti vya Usajili na Leseni yanatarajiwa kufanyika Jijini Dodoma siku ya Ijumaa ya tarehe 21.03.2025 kuanzia Saa

Read More »
Habari
super-admin

DKT. NTULI AIBUKA MSHINDI UKURUGENZI MKUU ECSA-HC

Mkurugenzi wa Kinga wa Wizara ya Afya kutoka Tanzania Dkt. Ntuli Kapologwe, ameibuka mshindi wa nafasi ya Mkurugenzi Mkuu wa Jumuiya ya Afya ya Nchi za Afrika Mashariki, Kati, na Kusini (ECSA – HC) na kuwashinda wagombea wengine sita waliokuwa wakiwania nafasi hiyo. Dkt. Ntuli anachukua nafasi hiyo kutoka kwa

Read More »
Habari
super-admin

MSAJILI TNMC: INDEXING NI SUALA LA KISHERIA SI MATAKWA YA MTU BINAFSI

Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania Bi. Agness Mtawa amewataka wanafunzi wote wa kada ya Uuguzi na Ukunga nchini kuhakikisha wanakamilisha   usajili wa awali (Student Indexing) ili kuweza kutambulika na mfumo wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania. Hayo ameyasema leo wakati wa kikao kifupi walichokiomba wanafunzi wa

Read More »