THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

TANZANIA NURSING AND MIDWIFERY COUNCIL

MAOMBI YA UTARAJA APRILI 2025

MAOMBI YA UTARAJA APRILI 2025

PDF

super-admin
On March 14, 2025
MAHAFALI YA KUMI NA TATU (13) YA WAUGUZI NA WAKUNGA KUFANYIKA 21.03.2025 CHIMWAGA HALL – DODOMA

MAHAFALI YA KUMI NA TATU (13) YA WAUGUZI NA WAKUNGA KUFANYIKA 21.03.2025 CHIMWAGA HALL – DODOMA

Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania, anawataarifu wauguzi na wakunga wote waliopata sifa za kusajiliwa na Baraza baada ya kufaulu Mtihani wa Usajili na Leseni uliofanyika tarehe 20.12.2024 kuwa, Mahafali ya 13 ya

super-admin
On March 12, 2025
TAARIFA YA MAHAFALI YA 13 YA KITAALUMA

TAARIFA YA MAHAFALI YA 13 YA KITAALUMA

Download

super-admin
On March 12, 2025
MAADHIMISHO YA  MIAKA 72  YA TNMC

MAADHIMISHO YA MIAKA 72 YA TNMC

Kila ifikapo tarehe 19 machi ya kila mwaka Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania Huadhimisha miaka siku ya kuanzishwa kwa taasisi hii. Mwaka huu TNMC inatarajia kuadhimisha miaka 72 tangu kuanzishwa kwake mnamo 19 machi

super-admin
On March 11, 2025
Habari
super-admin

WAZIRI WA AFYA ATEUA NA KUZINDUA BARAZA LA TNMC LEO

Waziri wa Afya Mhe. Jenesta Mhagama (Mbunge) amefanya uteuzi na kuzindua Baraza jipya la Uuguzi na Ukunga Tanzania(TNMC) lenye jumla ya wajumbe 12 baada ya wajumbe wa Baraza la awali kumaliza muda wao. Uteuzi wa wajumbe 12 wa Baraza ni kwa Mujibu wa kifunga namba 5 – (1) cha Sheria

Read More »
Habari
super-admin

WATAHINIWA 5147 KUFANYA MTIHANI WA USAJILI NA LESENI

Jumla ya watahiniwa 5147 waliohitimu katika vyuo mbalimbali, wanatarajiwa kufanya Mtihani wa usajili na leseni unaoratibiwa na Baraza la uuguzi na ukunga Tanzania (TNMC) katika vituo vilivyotengwa kwenye mikoa ya Dodoma, Dar es Salaam, Iringa, Tabora, Mwanza na Arusha. Hilo limebainishwa na Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania,

Read More »
Uncategorized
super-admin

NAMBA ZA MTIHANI WA USAJILI NA LESENI DISEMBA 2024.

A: BACHELOR BACHELOR OF SCIENCE IN MIDWIFERY (KITUO CHA:KAMPALA,RUCU,IAA,UDOM,TANDABUI) BACHELOR OF SCIENCE IN NURSING (KITUO CHA: KAMPLA,IAA,RUCU,UDOM,TPC,TANDABUI)BACHELOR OF SCIENCE IN NURSE ANAESTHESIA (KITUO CHA: KAMPALA) B:DIPLOMA INSTITUTE OF ACCOUNTACY ARUSHA: MAIN HALL 2 KAMPALA UNIVERSITY: LECTURE HALL 8 RUAHA CATHOLIC UNIVERSITY -IRINGA: MAIN HALL 1 ST. JOHN’S UNIVERSITY OF TANZANIA:

Read More »
Uncategorized
super-admin

WAUGUZI NA WAKUNGA ZAIDI YA 1200 WATUNUKIWA VYETI NA LESENI ZA KITAALUMA.

Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) limewatunuku wauguzi na wakunga 1222 Leseni na  vyeti vya kitaaluma hii leo 13.12.2024 katika Mahafali ya 12 ya kitaaluma yaliyofanyika katika ukumbi wa st.peter’s swaswa uliopo Jijini Dodoma. Akihutubia katika hafla ya kitaaluma Mgeni rasmi ambaye ni Mkurugenzi wa Huduma za Uuguzi na

Read More »
Uncategorized
super-admin

WATARAJALI WAPATA SEMINA ELEKEZI KABLA YA KUANZA MAFUNZO KWA VITENDO.

Watarajali zaidi ya 700 wamekutana katika Ukumbi wa Chimwaga uliopo Jijini Dodoma kwa lengo la kupata semina elekezi kabla ya kuanza mafunzo kwa vitendo katika maeneo mbalimbali ya kutolea huduma za Afya hapa nchini. Semina hiyo iliyoandaliwa na Kurugenzi ya Maadili, Usajili na leseni kutoka Baraza la Uuguzi na Ukunga

Read More »
Uncategorized
super-admin

TNMC YAZINDUA MFUMO WA MAWASILIANO KWA WATEJA

Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) leo 11.10.2024 limezindua mfumo wa mawasiliano ya huduma kwa wateja utakao tumika kuwasiliana na umma hususani wadau wake wakuu ambao ni wauguzi na wakunga ndani na nje ya nchi ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha kilele cha wiki ya huduma kwa wateja. Wiki ya

Read More »