THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

TANZANIA NURSING AND MIDWIFERY COUNCIL

NAMBA ZA MTIHANI WA USAJILI NA LESENI MEI, 2025

NAMBA ZA MTIHANI WA USAJILI NA LESENI MEI, 2025

Zifuatazo ni namba za Mtihani wa kitaifa wa Usajili na Leseni utakaofanyika 23 Mei,2025. BOFYA KUTAZAMA NAMBA YAKO SASA: 01:DODOMA- CHUO KIKUU CHA DODOMA 02:DAR ES SALAAM- CHUO KIKUU CHA KAMPLA 03:MWANZA -TAASISI YA AFYA

super-admin
On May 17, 2025
MABADILIKO YA KITUO CHA MTIHANI WA USAJILI NA LESENI KWA MKOA WA DODOMA KUTOKA ST. JOHN KWENDA (UDOM)TAARIFA KWA UMMA

MABADILIKO YA KITUO CHA MTIHANI WA USAJILI NA LESENI KWA MKOA WA DODOMA KUTOKA ST. JOHN KWENDA (UDOM)TAARIFA KWA UMMA

super-admin
On May 15, 2025
CHAMA CHA WAUGUZI TANZANIA (TANNA) WAPATA UONGOZI MPYA

CHAMA CHA WAUGUZI TANZANIA (TANNA) WAPATA UONGOZI MPYA

Na Ezekiel M. Nyalusi (Iringa) Chama cha Wauguzi Tanzania 11Mei 2025 walipiga kura kwaajili ya kupata uongozi mpya ambapo viongozi mbalimbali wamepatikana, Uchaguzi huo uliofanyika katika Mkutano Mkuu wa chama uliofanyika Mkoani Iringa. Akitangaza Matokeo

super-admin
On May 12, 2025
MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA

MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA

DOWNLOAD HERE

super-admin
On April 30, 2025
Uncategorized
super-admin

TNMC YAZINDUA MFUMO WA MAWASILIANO KWA WATEJA

Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) leo 11.10.2024 limezindua mfumo wa mawasiliano ya huduma kwa wateja utakao tumika kuwasiliana na umma hususani wadau wake wakuu ambao ni wauguzi na wakunga ndani na nje ya nchi ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha kilele cha wiki ya huduma kwa wateja. Wiki ya

Read More »
Uncategorized
super-admin

CHAMA CHA “WANAFIZIOTHERAPI” CHA ITEMBELEA OFISI YA MSAJILI TNMC.

Viongozi wa Chama cha “wanafiziotherapi” Tanzania (Association of Physiotherapists in Tanzania) leo oktoba 10,2024 wameitembelea ofisi ya Msajili wa Baraza la Uuguzi na Uunga Tanzania kwa lengo la kujifunza mambo mbalimbali ya utendaji kazi wa TNMC. Pamoja na mambo mengine mengi Viongozi hao ndg. Jerusalem Makotore(kulia) ambaye ni Mhazini na

Read More »
Uncategorized
super-admin

TNMC Kuanzisha Kituo Cha Mawasiliano , Kuboresha Utoaji Huduma Kwa Mteja.

SASA KUTUMIA NAMBA MOJA YA MAWASILIANO. Katika kuboresha huduma kwa mteja, Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania TNMC linaendelea na mchakato wa kunzisha kituo cha mawasiliano na wadau wake hususani wauguzi na wakunga nchini na duniani kwa ujmla, machakato ambao unatarajiwa kukamilika na kuanza kutumika mapema mwezi huu Oktoba 2024.

Read More »
Uncategorized
super-admin

TNMC Yashiriki Mkutano wa ECSACON Lesotho

TNMC ikiwakilishwa na Msajili Bi. Agnes Mtawa, pamoja na maafisa waandamizi  ambao ni Salome Kassanga na Irene Chilewa, imeshiriki Mkutano wa kimataifa wa kisayansi unaoratibiwa na jumuiya ya ECSACON  nchini Lesotho  kuanzia tarehe 11 hadi 13 Septemba 2024 kwa lengo la kubadilishana  elimu, uzoefu na kuboresha utoaji huduma katika sekta

Read More »