THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

TANZANIA NURSING AND MIDWIFERY COUNCIL

TNMC YAADHIMISHA MIAKA 72 NA WATOTO WENYE ULEMAVU – DODOMA

TNMC YAADHIMISHA MIAKA 72 NA WATOTO WENYE ULEMAVU – DODOMA

Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania leo 19 Machi 2025 limefanya maadhimisho ya miaka 72 Tangu kuanzishwa kwake mwaka 1953. Maadhimisho hayo ya kihistoria leo yamefanyika kwa kutembelea kituo cha watoto wenye ulemavu cha Mlali

super-admin
On March 19, 2025
MAADHIMISHO YA MIAKA 72 YA TNMC

MAADHIMISHO YA MIAKA 72 YA TNMC

Kila ifikapo tarehe 19 machi ya kila mwaka Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania Huadhimisha miaka siku ya kuanzishwa kwa taasisi hii. Mwaka huu TNMC inatarajia kuadhimisha miaka 72 tangu kuanzishwa kwake mnamo 19 machi

super-admin
On March 16, 2025
MAOMBI YA UTARAJA APRILI 2025

MAOMBI YA UTARAJA APRILI 2025

PDF

super-admin
On March 14, 2025
MAHAFALI YA KUMI NA TATU (13) YA WAUGUZI NA WAKUNGA KUFANYIKA 21.03.2025 CHIMWAGA HALL – DODOMA

MAHAFALI YA KUMI NA TATU (13) YA WAUGUZI NA WAKUNGA KUFANYIKA 21.03.2025 CHIMWAGA HALL – DODOMA

Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania, anawataarifu wauguzi na wakunga wote waliopata sifa za kusajiliwa na Baraza baada ya kufaulu Mtihani wa Usajili na Leseni uliofanyika tarehe 20.12.2024 kuwa, Mahafali ya 13 ya

super-admin
On March 12, 2025
Uncategorized
super-admin

NAMBA ZA MTIHANI WA USAJILI NA LESENI DISEMBA 2024.

A: BACHELOR BACHELOR OF SCIENCE IN MIDWIFERY (KITUO CHA:KAMPALA,RUCU,IAA,UDOM,TANDABUI) BACHELOR OF SCIENCE IN NURSING (KITUO CHA: KAMPLA,IAA,RUCU,UDOM,TPC,TANDABUI)BACHELOR OF SCIENCE IN NURSE ANAESTHESIA (KITUO CHA: KAMPALA) B:DIPLOMA INSTITUTE OF ACCOUNTACY ARUSHA: MAIN HALL 2 KAMPALA UNIVERSITY: LECTURE HALL 8 RUAHA CATHOLIC UNIVERSITY -IRINGA: MAIN HALL 1 ST. JOHN’S UNIVERSITY OF TANZANIA:

Read More »
Uncategorized
super-admin

WAUGUZI NA WAKUNGA ZAIDI YA 1200 WATUNUKIWA VYETI NA LESENI ZA KITAALUMA.

Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) limewatunuku wauguzi na wakunga 1222 Leseni na  vyeti vya kitaaluma hii leo 13.12.2024 katika Mahafali ya 12 ya kitaaluma yaliyofanyika katika ukumbi wa st.peter’s swaswa uliopo Jijini Dodoma. Akihutubia katika hafla ya kitaaluma Mgeni rasmi ambaye ni Mkurugenzi wa Huduma za Uuguzi na

Read More »
Uncategorized
super-admin

WATARAJALI WAPATA SEMINA ELEKEZI KABLA YA KUANZA MAFUNZO KWA VITENDO.

Watarajali zaidi ya 700 wamekutana katika Ukumbi wa Chimwaga uliopo Jijini Dodoma kwa lengo la kupata semina elekezi kabla ya kuanza mafunzo kwa vitendo katika maeneo mbalimbali ya kutolea huduma za Afya hapa nchini. Semina hiyo iliyoandaliwa na Kurugenzi ya Maadili, Usajili na leseni kutoka Baraza la Uuguzi na Ukunga

Read More »
Uncategorized
super-admin

TNMC YAZINDUA MFUMO WA MAWASILIANO KWA WATEJA

Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) leo 11.10.2024 limezindua mfumo wa mawasiliano ya huduma kwa wateja utakao tumika kuwasiliana na umma hususani wadau wake wakuu ambao ni wauguzi na wakunga ndani na nje ya nchi ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha kilele cha wiki ya huduma kwa wateja. Wiki ya

Read More »
Uncategorized
super-admin

CHAMA CHA “WANAFIZIOTHERAPI” CHA ITEMBELEA OFISI YA MSAJILI TNMC.

Viongozi wa Chama cha “wanafiziotherapi” Tanzania (Association of Physiotherapists in Tanzania) leo oktoba 10,2024 wameitembelea ofisi ya Msajili wa Baraza la Uuguzi na Uunga Tanzania kwa lengo la kujifunza mambo mbalimbali ya utendaji kazi wa TNMC. Pamoja na mambo mengine mengi Viongozi hao ndg. Jerusalem Makotore(kulia) ambaye ni Mhazini na

Read More »