Mh. Dk. Godwin Mollel Naibu waziri Wizara ya Afya akihutubia kwenye maadhimisho ya miaka 70 ya Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania yaliyofanyika viwanja vya Nyerere Square-Dodoma

Mh. Dk. Godwin Mollel Naibu waziri Wizara ya Afya alipowasili kwenye maadhimisho ya miaka 70 ya Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania yaliyofanyika viwanja vya Nyerere Square-Dodoma
