THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

TANZANIA NURSING AND MIDWIFERY COUNCIL

MAHALI YA 13 YA KITAALUMA

MAHALI YA 13 YA KITAALUMA

Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania anawatangazia Watahiniwa wote wa kada za Uuguzi na Ukunga waliofanya Mtihani wa Usajili na Leseni tarehe 20.12.2024 na kufaulu kuwa, Mahafali ya 13 ya kutunuku Vyeti vya

super-admin
On March 10, 2025
TAARIFA JUU YA HITILAFU YA TOVUTI

TAARIFA JUU YA HITILAFU YA TOVUTI

PDF

super-admin
On March 10, 2025
SOMA JARIDA LA MWEZI FEBRUARI

SOMA JARIDA LA MWEZI FEBRUARI

DOWNLOAD HAPA

super-admin
On February 17, 2025
DKT. NTULI AIBUKA MSHINDI UKURUGENZI MKUU ECSA-HC

DKT. NTULI AIBUKA MSHINDI UKURUGENZI MKUU ECSA-HC

Mkurugenzi wa Kinga wa Wizara ya Afya kutoka Tanzania Dkt. Ntuli Kapologwe, ameibuka mshindi wa nafasi ya Mkurugenzi Mkuu wa Jumuiya ya Afya ya Nchi za Afrika Mashariki, Kati, na Kusini (ECSA – HC) na

super-admin
On February 12, 2025
Uncategorized
super-admin

CHAMA CHA “WANAFIZIOTHERAPI” CHA ITEMBELEA OFISI YA MSAJILI TNMC.

Viongozi wa Chama cha “wanafiziotherapi” Tanzania (Association of Physiotherapists in Tanzania) leo oktoba 10,2024 wameitembelea ofisi ya Msajili wa Baraza la Uuguzi na Uunga Tanzania kwa lengo la kujifunza mambo mbalimbali ya utendaji kazi wa TNMC. Pamoja na mambo mengine mengi Viongozi hao ndg. Jerusalem Makotore(kulia) ambaye ni Mhazini na

Read More »
Uncategorized
super-admin

TNMC Kuanzisha Kituo Cha Mawasiliano , Kuboresha Utoaji Huduma Kwa Mteja.

SASA KUTUMIA NAMBA MOJA YA MAWASILIANO. Katika kuboresha huduma kwa mteja, Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania TNMC linaendelea na mchakato wa kunzisha kituo cha mawasiliano na wadau wake hususani wauguzi na wakunga nchini na duniani kwa ujmla, machakato ambao unatarajiwa kukamilika na kuanza kutumika mapema mwezi huu Oktoba 2024.

Read More »
Uncategorized
super-admin

TNMC Yashiriki Mkutano wa ECSACON Lesotho

TNMC ikiwakilishwa na Msajili Bi. Agnes Mtawa, pamoja na maafisa waandamizi  ambao ni Salome Kassanga na Irene Chilewa, imeshiriki Mkutano wa kimataifa wa kisayansi unaoratibiwa na jumuiya ya ECSACON  nchini Lesotho  kuanzia tarehe 11 hadi 13 Septemba 2024 kwa lengo la kubadilishana  elimu, uzoefu na kuboresha utoaji huduma katika sekta

Read More »
Uncategorized
super-admin

Wizara ya Afya na Taasisi zake zatwaa Tuzo Maonesho ya Nanenane.

Wizara ya Afya na taasisi zake imetwaa Tuzo ya Wizara Mtambuka kwa kushika nafasi ya Tatu katika Maonesho Kimataifa ya Nane Nane 2024 Jijini Dodoma. Tuzo hiyo ambayo imetolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan imekabidhiwa siku moja kabla yakukamilika kwa Maonesho hayo

Read More »