THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

TANZANIA NURSING AND MIDWIFERY COUNCIL

MAJINA YA WANAFUNZI WENYE CHANGAMOTO YA USAJILI WA AWALI (INDEXING)

MAJINA YA WANAFUNZI WENYE CHANGAMOTO YA USAJILI WA AWALI (INDEXING)

Zaidi ya wanafunzi 500 watakosa sifa za kuomba mtihani wa usajili na leseni endapo watashindwa kufanya marekebisho muhimu ya maombi ya usajili wa awali (student Indexing) kwenye akaunti zao za mfumo wa Baraza. Aidha yapo

super-admin
On September 15, 2025
ORODHA YA WAUGUZI,WAKUNGA WATAKAOTUNUKIWA VYETI NA LESENI 17.09.2025 DODOMA-TANZANIA

ORODHA YA WAUGUZI,WAKUNGA WATAKAOTUNUKIWA VYETI NA LESENI 17.09.2025 DODOMA-TANZANIA

Mahafali Ya Kumi Na Nne (14) Ya Kutunuku Vyeti Vya Usajili, Uorodheshwaji Na Leseni Wauguzi Na Wakunga Waliopata Sifa Mahafali yatafanyika Tarehe 17 Septemba 2025 - Ukumbi Wa Chimwaga, Jijini Dodoma. TAZAMA MAJINA HAPA DOWNLOAD

super-admin
On August 21, 2025
SIFA ZA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UUGUZI, UKUNGA PAMOJA NA USAJILI

SIFA ZA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UUGUZI, UKUNGA PAMOJA NA USAJILI

DOWNLOAD HAPA

super-admin
On August 18, 2025
MAFUNZO KUHUSU RIPOTI ENDELEVU NA VIWANGO VYA KIMATAIFA VYA UHASIBU SEKTA YA UMMA (IPSAS)

MAFUNZO KUHUSU RIPOTI ENDELEVU NA VIWANGO VYA KIMATAIFA VYA UHASIBU SEKTA YA UMMA (IPSAS)

Leo, Agosti 04,2025 Menejimenti ya Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania imepata mafunzo kuhusu ripoti endelevu na viwango vya kimataifa vya uhasibu sekta ya umma (IPSAS). Mafunzo hayo yanayotolewa na CPA DR. NEEMA KIURE yanatarajiwa

super-admin
On August 4, 2025
Habari
super-admin

TNMC YAADHIMISHA MIAKA 72 NA WATOTO WENYE ULEMAVU – DODOMA

Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania leo 19 Machi 2025 limefanya maadhimisho ya miaka 72 Tangu kuanzishwa kwake mwaka 1953. Maadhimisho hayo ya kihistoria leo yamefanyika kwa kutembelea kituo cha watoto wenye ulemavu cha Mlali kilichopo wilayani Kongwa Dodoma. Akizungumza katika hotuba yake kaimu Msajili TNMC Bi. Irene Chilewa amesema

Read More »
Habari
super-admin

MAADHIMISHO YA MIAKA 72 YA TNMC

Kila ifikapo tarehe 19 machi ya kila mwaka Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania Huadhimisha miaka siku ya kuanzishwa kwa taasisi hii. Mwaka huu TNMC inatarajia kuadhimisha miaka 72 tangu kuanzishwa kwake mnamo 19 machi 1953 kwa kutembelea na kutoa misaada ya kibinadamu katika kituo cha watoto walemavu cha Mlali

Read More »
Matukio
super-admin

MAADHIMISHO YA MIAKA 72 YA TNMC

Kila ifikapo tarehe 19 machi ya kila mwaka Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania Huadhimisha miaka siku ya kuanzishwa kwa taasisi hii. Mwaka huu TNMC inatarajia kuadhimisha miaka 72 tangu kuanzishwa kwake mnamo 19 machi 1953 kwa kutembelea na kutoa misaada ya kibinadamu katika kituo cha watoto walemavu cha Mlali

Read More »
Matukio
super-admin

MAHALI YA 13 YA KITAALUMA

Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania anawatangazia Watahiniwa wote wa kada za Uuguzi na Ukunga waliofanya Mtihani wa Usajili na Leseni tarehe 20.12.2024 na kufaulu kuwa, Mahafali ya 13 ya kutunuku Vyeti vya Usajili na Leseni yanatarajiwa kufanyika Jijini Dodoma siku ya Ijumaa ya tarehe 21.03.2025 kuanzia Saa

Read More »
Habari
super-admin

DKT. NTULI AIBUKA MSHINDI UKURUGENZI MKUU ECSA-HC

Mkurugenzi wa Kinga wa Wizara ya Afya kutoka Tanzania Dkt. Ntuli Kapologwe, ameibuka mshindi wa nafasi ya Mkurugenzi Mkuu wa Jumuiya ya Afya ya Nchi za Afrika Mashariki, Kati, na Kusini (ECSA – HC) na kuwashinda wagombea wengine sita waliokuwa wakiwania nafasi hiyo. Dkt. Ntuli anachukua nafasi hiyo kutoka kwa

Read More »