THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

TANZANIA NURSING AND MIDWIFERY COUNCIL

MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA

MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA

DOWNLOAD HERE

super-admin
On April 30, 2025
Kamati ya Elimu na Maendeleo ya Taaluma – TNMC ya Keti Kikao cha 22 Leo

Kamati ya Elimu na Maendeleo ya Taaluma – TNMC ya Keti Kikao cha 22 Leo

Leo 24.04.2025 Wajumbe wa kamati ya Elimu na Maendeleo ya taaluma ya Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania TNMC wanafanya kikao cha kawaida cha robo ya tatu leo katika ukumbi mdogo wa mikutano wa Ofisi

super-admin
On April 24, 2025
WAJUMBE WA KAMATI YA KUDUMU YA USAJILI NA UORODHESHWAJI TNMC WAKETI KWA KIKAO CHA KAWAIDA LEO

WAJUMBE WA KAMATI YA KUDUMU YA USAJILI NA UORODHESHWAJI TNMC WAKETI KWA KIKAO CHA KAWAIDA LEO

Leo 15.04.2025 Wajumbe wa kamati ya kudumu ya Usajili na uorodheshwaji ya Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania TNMC wanaketi kwa kikao cha kawaida cha robo ya tatu ambacho hufanyika kila robo mwaka kupitia utekelezaji

super-admin
On April 15, 2025
KUFUNGULIWA KWA DIRISHA LA MAOMBI YA MTIHANIWA USAJILI NA LESENI APRILI, 2025

KUFUNGULIWA KWA DIRISHA LA MAOMBI YA MTIHANIWA USAJILI NA LESENI APRILI, 2025

Download hapa

super-admin
On April 11, 2025
Uncategorized
super-admin

NAMBA ZA MTIHANI WA USAJILI NA LESENI DISEMBA 2024.

A: BACHELOR BACHELOR OF SCIENCE IN MIDWIFERY (KITUO CHA:KAMPALA,RUCU,IAA,UDOM,TANDABUI) BACHELOR OF SCIENCE IN NURSING (KITUO CHA: KAMPLA,IAA,RUCU,UDOM,TPC,TANDABUI)BACHELOR OF SCIENCE IN NURSE ANAESTHESIA (KITUO CHA: KAMPALA) B:DIPLOMA INSTITUTE OF ACCOUNTACY ARUSHA: MAIN HALL 2 KAMPALA UNIVERSITY: LECTURE HALL 8 RUAHA CATHOLIC UNIVERSITY -IRINGA: MAIN HALL 1 ST. JOHN’S UNIVERSITY OF TANZANIA:

Read More »
Uncategorized
super-admin

WAUGUZI NA WAKUNGA ZAIDI YA 1200 WATUNUKIWA VYETI NA LESENI ZA KITAALUMA.

Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) limewatunuku wauguzi na wakunga 1222 Leseni na  vyeti vya kitaaluma hii leo 13.12.2024 katika Mahafali ya 12 ya kitaaluma yaliyofanyika katika ukumbi wa st.peter’s swaswa uliopo Jijini Dodoma. Akihutubia katika hafla ya kitaaluma Mgeni rasmi ambaye ni Mkurugenzi wa Huduma za Uuguzi na

Read More »
Uncategorized
super-admin

WATARAJALI WAPATA SEMINA ELEKEZI KABLA YA KUANZA MAFUNZO KWA VITENDO.

Watarajali zaidi ya 700 wamekutana katika Ukumbi wa Chimwaga uliopo Jijini Dodoma kwa lengo la kupata semina elekezi kabla ya kuanza mafunzo kwa vitendo katika maeneo mbalimbali ya kutolea huduma za Afya hapa nchini. Semina hiyo iliyoandaliwa na Kurugenzi ya Maadili, Usajili na leseni kutoka Baraza la Uuguzi na Ukunga

Read More »
Uncategorized
super-admin

TNMC YAZINDUA MFUMO WA MAWASILIANO KWA WATEJA

Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) leo 11.10.2024 limezindua mfumo wa mawasiliano ya huduma kwa wateja utakao tumika kuwasiliana na umma hususani wadau wake wakuu ambao ni wauguzi na wakunga ndani na nje ya nchi ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha kilele cha wiki ya huduma kwa wateja. Wiki ya

Read More »
Uncategorized
super-admin

CHAMA CHA “WANAFIZIOTHERAPI” CHA ITEMBELEA OFISI YA MSAJILI TNMC.

Viongozi wa Chama cha “wanafiziotherapi” Tanzania (Association of Physiotherapists in Tanzania) leo oktoba 10,2024 wameitembelea ofisi ya Msajili wa Baraza la Uuguzi na Uunga Tanzania kwa lengo la kujifunza mambo mbalimbali ya utendaji kazi wa TNMC. Pamoja na mambo mengine mengi Viongozi hao ndg. Jerusalem Makotore(kulia) ambaye ni Mhazini na

Read More »