THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

TANZANIA NURSING AND MIDWIFERY COUNCIL

TNMC FINANCIAL STATEMENTS 2022-2024

TNMC FINANCIAL STATEMENTS 2022-2024

TNMC FINANCIAL STATEMENT 2022 TNMC FINANCIAL STATEMENT 2023 TNMC FINANCIAL STATEMENT 2024

super-admin
On October 23, 2025
KUFUNGULIWA KWA DIRISHA LA UTARAJALI( INTERNSHIP)

KUFUNGULIWA KWA DIRISHA LA UTARAJALI( INTERNSHIP)

Ofisi ya Msajili inapenda kuwataarifu Wauguzi na Wakunga wahitimu wa Shahada za kwanza za Uuguzi na Ukunga wanaotarajia kujiunga na mafunzo ya Utarajali Mwezi Novemba 2025, kuwa dirisha la maombi kwa njia ya mtandao kupitia

super-admin
On October 12, 2025
THE 2ND ECSACONM – TANZANIA CHAPTER SCIENTIFIC CONFERENCE 2025

THE 2ND ECSACONM – TANZANIA CHAPTER SCIENTIFIC CONFERENCE 2025

CALL FOR ABSTRACTS AND REGISTRATION THEME:INNOVATIONS AND DIGITAL HEALTH SOLUTIONS: TRANSFORMING NURSING AND MIDWIFERY PRACTICES IN THE 21st Submission portal: https://bit.ly/3W0eBho Deadline for abstract submission:31st October 2025 Registration portal:https://bit.ly/4nV1WZe VENUE: CORRIDOR SPRINGARUSHA - TANZANIA DATE:

super-admin
On October 10, 2025
OFISI MPYA ZA TNMC ZIPO KATIKA HATUA YA MWISHO KUKAMILIKA

OFISI MPYA ZA TNMC ZIPO KATIKA HATUA YA MWISHO KUKAMILIKA

Menejimenti ya Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) ikiongozwa na Msajili Bi. Agnes Mtawa leo Oktoba 1, 2025 imefanya ziara ya kutembelea eneo la ujenzi wa Ofisi ya Baraza (site visiting) kuangalia hatua za

super-admin
On October 1, 2025
Uncategorized
super-admin

ZIFAHAMU KANUNI SABA ZA MAADILI YA UUGUZI NA UKUNGA NCHINI.

1. Heshimu Utu uhai.2. Pata idhini ya mteja kabla ya kutoa huduma.3. Timiza wajibu wako na kuwa tayari kuwajibika kwa matendo yako.4. Dumisha weledi na ujiendeleze kitaaluma.5. Uwe mwaminifu na kutoa huduma bila upendeleo.6. Shirikiana na watoa huduma wengine na kufanya kazi kama timu.7. Tunza siri za Mteja/ Mtu unaye

Read More »
Uncategorized
super-admin

MTIHANI WA USAJILI NA LESENI KUFANYIKA AUGUST 23, 2024

Ofisi ya Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania, inawatangazia   wahitimu wote wanaotarajia kufanya mtihani wa Usajili na Leseni, kuwa mtihani unatarajiwa kutafanyika tarehe 23/08/2024. Kwamba, Dirisha la maombi limefunguliwa lipo wazi toka tarehe 01/07/2024 na litafungwa tarehe 14/08/2024. Maombi yote yafanyike kupitia mtandao kwa kutumia mfumo wa Baraza

Read More »
Uncategorized
super-admin

UJENZI WA OFISI ZA TNMC DODOMA WAFIKIA 59.9%

Menejimenti ya Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) leo Julai 11, 2024 imefanya ziara ya kutembelea eneo la ujenzi wa Ofisi ya Baraza (site visiting) kuangalia hatua za ujenzi wa Ofisi za Baraza. Ujenzi huo unaotekelezwa na kampuni ya ujenzi ya Strategic Business Solution Limited (SBS) unaendelea katika eneo

Read More »
Uncategorized
super-admin

CHUO KIKUBWA CHA KISASA CHA AFYA KUJENGWA DODOMA

Serikali kupitia Wizara ya Afya imetenga fedha katika Bajeti ya Mwaka 2024/25 kwa ajili ya kujenga chuo kikubwa na cha kisasa cha Afya – Mirembe cha uuguzi na ukunga kitakachokua na vifaa vya kisasa ambacho kitatoa wataala wa kutosha katika Sekta ya Afya. Waziri Ummy amesema hayo leo Juni 12,

Read More »
Uncategorized
super-admin

UJENZI WA OFISI ZA TNMC WAFIKIA 52%- DODOMA

Menejimenti ya Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) leo June 06, 2024 imefanya ziara ya kutembelea eneo la ujenzi wa Ofisi ya Baraza (site visiting) kuangalia hatua za ujenzi wa Ofisi za Baraza. Ujenzi huo unaotekelezwa na kampuni ya ujenzi ya Strategic Business Solution Limited (SBS) unaendelea katika eneo

Read More »
Uncategorized
super-admin

WATOA HUDUMA ZA AFYA WATAKIWA KUIMARISHA MAHUDHURIO MAENEO YA KAZI

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Dkt. John Jingu amewawaagiza watumishi na wataalam wote wa Afya nchini kuimarisha mahudhurio kwa kuhakikisha wanakuwepo maeneo yao ya kazi kwa muda stahiki wanaotakiwa kuwapo ili kukabilina na majukumu yao na kuiepusha jamii na madhila ambayo yanaepukika. Dkt.Jingu ameyasema hayo Juni 9, 2024 wakati

Read More »
Uncategorized
super-admin

SERIKALI KUAJIRI WATUMISHIWA AFYA 10,112

Serikali imesema kuwa mwaka ujao wa Fedha itaajiri watumishi wa Afya 10,112 ili kukabiliana na upungufu wa watumishi hasa maeneo ya vijijini. Hayo yameelezwa bungeni, Dodoma na Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) anayeshughulikia Afya Dkt. Festo Dugange wakati akijibu swali la Mbunge

Read More »