THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

TANZANIA NURSING AND MIDWIFERY COUNCIL

MABADILIKO YA KITUO CHA MTIHANI WA USAJILI NA LESENI KWA MKOA WA DODOMA KUTOKA ST. JOHN KWENDA (UDOM)TAARIFA KWA UMMA

MABADILIKO YA KITUO CHA MTIHANI WA USAJILI NA LESENI KWA MKOA WA DODOMA KUTOKA ST. JOHN KWENDA (UDOM)TAARIFA KWA UMMA

super-admin
On May 15, 2025
CHAMA CHA WAUGUZI TANZANIA (TANNA) WAPATA UONGOZI MPYA

CHAMA CHA WAUGUZI TANZANIA (TANNA) WAPATA UONGOZI MPYA

Na Ezekiel M. Nyalusi (Iringa) Chama cha Wauguzi Tanzania 11Mei 2025 walipiga kura kwaajili ya kupata uongozi mpya ambapo viongozi mbalimbali wamepatikana, Uchaguzi huo uliofanyika katika Mkutano Mkuu wa chama uliofanyika Mkoani Iringa. Akitangaza Matokeo

super-admin
On May 12, 2025
MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA

MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA

DOWNLOAD HERE

super-admin
On April 30, 2025
Kamati ya Elimu na Maendeleo ya Taaluma – TNMC ya Keti Kikao cha 22 Leo

Kamati ya Elimu na Maendeleo ya Taaluma – TNMC ya Keti Kikao cha 22 Leo

Leo 24.04.2025 Wajumbe wa kamati ya Elimu na Maendeleo ya taaluma ya Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania TNMC wanafanya kikao cha kawaida cha robo ya tatu leo katika ukumbi mdogo wa mikutano wa Ofisi

super-admin
On April 24, 2025
Uncategorized
super-admin

ZIFAHAMU KANUNI SABA ZA MAADILI YA UUGUZI NA UKUNGA NCHINI.

1. Heshimu Utu uhai.2. Pata idhini ya mteja kabla ya kutoa huduma.3. Timiza wajibu wako na kuwa tayari kuwajibika kwa matendo yako.4. Dumisha weledi na ujiendeleze kitaaluma.5. Uwe mwaminifu na kutoa huduma bila upendeleo.6. Shirikiana na watoa huduma wengine na kufanya kazi kama timu.7. Tunza siri za Mteja/ Mtu unaye

Read More »
Uncategorized
super-admin

MTIHANI WA USAJILI NA LESENI KUFANYIKA AUGUST 23, 2024

Ofisi ya Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania, inawatangazia   wahitimu wote wanaotarajia kufanya mtihani wa Usajili na Leseni, kuwa mtihani unatarajiwa kutafanyika tarehe 23/08/2024. Kwamba, Dirisha la maombi limefunguliwa lipo wazi toka tarehe 01/07/2024 na litafungwa tarehe 14/08/2024. Maombi yote yafanyike kupitia mtandao kwa kutumia mfumo wa Baraza

Read More »
Uncategorized
super-admin

UJENZI WA OFISI ZA TNMC DODOMA WAFIKIA 59.9%

Menejimenti ya Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) leo Julai 11, 2024 imefanya ziara ya kutembelea eneo la ujenzi wa Ofisi ya Baraza (site visiting) kuangalia hatua za ujenzi wa Ofisi za Baraza. Ujenzi huo unaotekelezwa na kampuni ya ujenzi ya Strategic Business Solution Limited (SBS) unaendelea katika eneo

Read More »
Uncategorized
super-admin

CHUO KIKUBWA CHA KISASA CHA AFYA KUJENGWA DODOMA

Serikali kupitia Wizara ya Afya imetenga fedha katika Bajeti ya Mwaka 2024/25 kwa ajili ya kujenga chuo kikubwa na cha kisasa cha Afya – Mirembe cha uuguzi na ukunga kitakachokua na vifaa vya kisasa ambacho kitatoa wataala wa kutosha katika Sekta ya Afya. Waziri Ummy amesema hayo leo Juni 12,

Read More »
Uncategorized
super-admin

UJENZI WA OFISI ZA TNMC WAFIKIA 52%- DODOMA

Menejimenti ya Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) leo June 06, 2024 imefanya ziara ya kutembelea eneo la ujenzi wa Ofisi ya Baraza (site visiting) kuangalia hatua za ujenzi wa Ofisi za Baraza. Ujenzi huo unaotekelezwa na kampuni ya ujenzi ya Strategic Business Solution Limited (SBS) unaendelea katika eneo

Read More »
Uncategorized
super-admin

WATOA HUDUMA ZA AFYA WATAKIWA KUIMARISHA MAHUDHURIO MAENEO YA KAZI

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Dkt. John Jingu amewawaagiza watumishi na wataalam wote wa Afya nchini kuimarisha mahudhurio kwa kuhakikisha wanakuwepo maeneo yao ya kazi kwa muda stahiki wanaotakiwa kuwapo ili kukabilina na majukumu yao na kuiepusha jamii na madhila ambayo yanaepukika. Dkt.Jingu ameyasema hayo Juni 9, 2024 wakati

Read More »
Uncategorized
super-admin

SERIKALI KUAJIRI WATUMISHIWA AFYA 10,112

Serikali imesema kuwa mwaka ujao wa Fedha itaajiri watumishi wa Afya 10,112 ili kukabiliana na upungufu wa watumishi hasa maeneo ya vijijini. Hayo yameelezwa bungeni, Dodoma na Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) anayeshughulikia Afya Dkt. Festo Dugange wakati akijibu swali la Mbunge

Read More »