THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

TANZANIA NURSING AND MIDWIFERY COUNCIL

MABADILIKO YA KITUO CHA MTIHANI WA USAJILI NA LESENI KWA MKOA WA DODOMA KUTOKA ST. JOHN KWENDA (UDOM)TAARIFA KWA UMMA

MABADILIKO YA KITUO CHA MTIHANI WA USAJILI NA LESENI KWA MKOA WA DODOMA KUTOKA ST. JOHN KWENDA (UDOM)TAARIFA KWA UMMA

super-admin
On May 15, 2025
CHAMA CHA WAUGUZI TANZANIA (TANNA) WAPATA UONGOZI MPYA

CHAMA CHA WAUGUZI TANZANIA (TANNA) WAPATA UONGOZI MPYA

Na Ezekiel M. Nyalusi (Iringa) Chama cha Wauguzi Tanzania 11Mei 2025 walipiga kura kwaajili ya kupata uongozi mpya ambapo viongozi mbalimbali wamepatikana, Uchaguzi huo uliofanyika katika Mkutano Mkuu wa chama uliofanyika Mkoani Iringa. Akitangaza Matokeo

super-admin
On May 12, 2025
MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA

MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA

DOWNLOAD HERE

super-admin
On April 30, 2025
Kamati ya Elimu na Maendeleo ya Taaluma – TNMC ya Keti Kikao cha 22 Leo

Kamati ya Elimu na Maendeleo ya Taaluma – TNMC ya Keti Kikao cha 22 Leo

Leo 24.04.2025 Wajumbe wa kamati ya Elimu na Maendeleo ya taaluma ya Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania TNMC wanafanya kikao cha kawaida cha robo ya tatu leo katika ukumbi mdogo wa mikutano wa Ofisi

super-admin
On April 24, 2025
Habari
super-admin

BARAZA LATANGAZA MATOKEO YA MTIHANI WA WA USAJILI NA LESENI, UFAULU NI 64%

Akitoa taarifa ya matokeo ya mtihani huu, tarehe 23 Januari, 2025, Jijini Dodoma, Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania Bi. Agnes Mtawa, amebainisha kuwa, jumla ya watahiniwa 5125 walifanya mtihani huu, ambapo watahiniwa 3281 (64%) wamefaulu mtihani na watahiniwa 1844 (36%) hawakuweza kufikia kiwango cha ufaulu kinachokubalika. Aidha,

Read More »
Habari
super-admin

WAUGUZI, WAKUNGA WAKUMBUSHWA JUU MAFUNZO YA KUJIENDELEZA KITAALUMA.

Akizungumza na TNMC Habari akiwa ofisini kwake jijini Dodoma, Mkurugenzi wa Maendeleo ya taaluma TNMC Bi.Happpy Massenga amesema Mafunzo ya kujiendeleza kitaaluma ni mchanganyiko wa shughuli mbali mbali za mafunzo anayopata mtaaluma ili kujenga umahiri na kuimarisha uwezo wake wa kutoa huduma bora. Mafunzo haya yanajumuisha kujifunza kila siku mambo

Read More »
Habari
super-admin

WAZIRI WA AFYA ATEUA NA KUZINDUA BARAZA LA TNMC LEO

Waziri wa Afya Mhe. Jenesta Mhagama (Mbunge) amefanya uteuzi na kuzindua Baraza jipya la Uuguzi na Ukunga Tanzania(TNMC) lenye jumla ya wajumbe 12 baada ya wajumbe wa Baraza la awali kumaliza muda wao. Uteuzi wa wajumbe 12 wa Baraza ni kwa Mujibu wa kifunga namba 5 – (1) cha Sheria

Read More »
Habari
super-admin

WATAHINIWA 5147 KUFANYA MTIHANI WA USAJILI NA LESENI

Jumla ya watahiniwa 5147 waliohitimu katika vyuo mbalimbali, wanatarajiwa kufanya Mtihani wa usajili na leseni unaoratibiwa na Baraza la uuguzi na ukunga Tanzania (TNMC) katika vituo vilivyotengwa kwenye mikoa ya Dodoma, Dar es Salaam, Iringa, Tabora, Mwanza na Arusha. Hilo limebainishwa na Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania,

Read More »