
CHAMA CHA WAKUNGA TANZANIA (TAMA) CHAPATA ITHIBATI UTOAJI WA MAFUNZO YA KUJIENDELEZA KITAALUMA (CPD)
Kwa niaba ya Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga, Mkunga Mbobezi na Mratibu wa Mafunzo ya Kujiendeleza Kitaaluma Bi. Mwajuma Mutabazi amekabidhi Cheti cha ithibati ya Moduli sita za mafunzo ya kujiendeleza kitaaluma (CPD) eneo la huduma za dharula kwa wajawazito (Midwifery Emergency Skills Training) kwa Chama cha wakunga