THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

TANZANIA NURSING AND MIDWIFERY COUNCIL

KUFUNGULIWA KWA DIRISHA LA MAOMBI YA MTIHANIWA USAJILI NA LESENI APRILI, 2025

KUFUNGULIWA KWA DIRISHA LA MAOMBI YA MTIHANIWA USAJILI NA LESENI APRILI, 2025

Wahitimu wote wa kada za Uuguzi, Ukunga na Utaalamu wa dawa za usingizi na ganzi, wanaotarajia kufanya Mtihani wa Usajili na Leseni, mnatangaziwa kuwa dirisha la maombi litafunguliwa rasmi kuanzia Jumamosi ya tarehe 12.04.2025 hadi

super-admin
On April 11, 2025
TNMC YALAANI KITENDO CHA MSANII MR. MWANYA KUWADHALILISHA WAUGUZI NA WAKUNGA NCHINI

TNMC YALAANI KITENDO CHA MSANII MR. MWANYA KUWADHALILISHA WAUGUZI NA WAKUNGA NCHINI

super-admin
On April 9, 2025
WAZIRI MHAGAMA MGENI RASMI WIKI YA AFYA KITAIFA

WAZIRI MHAGAMA MGENI RASMI WIKI YA AFYA KITAIFA

Maelfu ya wananchi kutoka maeneo mbalimbali ya Tanzania leo wamejitokeza kwa wingi kushiriki kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Afya Kitaifa 2025, yanayofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma. Mgeni rasmi katika

super-admin
On April 8, 2025
TNMC WAELIMISHA WADAU MTAALA MPYA WA MAFUNZO YA UUGUZI, UKUNGA NCHINI.

TNMC WAELIMISHA WADAU MTAALA MPYA WA MAFUNZO YA UUGUZI, UKUNGA NCHINI.

Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania limekutana na wadau kwa lengo la kutoa taarifa ya namna mtaala mpya ulivyoandaliwa na namna utakavyotumika. kikao hicho kimefanyika leo katika Hoteli ya Protea Jijini Dar es Saalam. Mtaala

super-admin
On April 3, 2025
Uncategorized
super-admin

TNMC Kuanzisha Kituo Cha Mawasiliano , Kuboresha Utoaji Huduma Kwa Mteja.

SASA KUTUMIA NAMBA MOJA YA MAWASILIANO. Katika kuboresha huduma kwa mteja, Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania TNMC linaendelea na mchakato wa kunzisha kituo cha mawasiliano na wadau wake hususani wauguzi na wakunga nchini na duniani kwa ujmla, machakato ambao unatarajiwa kukamilika na kuanza kutumika mapema mwezi huu Oktoba 2024.

Read More »
Uncategorized
super-admin

TNMC Yashiriki Mkutano wa ECSACON Lesotho

TNMC ikiwakilishwa na Msajili Bi. Agnes Mtawa, pamoja na maafisa waandamizi  ambao ni Salome Kassanga na Irene Chilewa, imeshiriki Mkutano wa kimataifa wa kisayansi unaoratibiwa na jumuiya ya ECSACON  nchini Lesotho  kuanzia tarehe 11 hadi 13 Septemba 2024 kwa lengo la kubadilishana  elimu, uzoefu na kuboresha utoaji huduma katika sekta

Read More »
Uncategorized
super-admin

Wizara ya Afya na Taasisi zake zatwaa Tuzo Maonesho ya Nanenane.

Wizara ya Afya na taasisi zake imetwaa Tuzo ya Wizara Mtambuka kwa kushika nafasi ya Tatu katika Maonesho Kimataifa ya Nane Nane 2024 Jijini Dodoma. Tuzo hiyo ambayo imetolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan imekabidhiwa siku moja kabla yakukamilika kwa Maonesho hayo

Read More »