THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

TANZANIA NURSING AND MIDWIFERY COUNCIL

MAOMBI YA UTARAJA APRILI 2025

MAOMBI YA UTARAJA APRILI 2025

PDF

super-admin
On March 14, 2025
MAHAFALI YA KUMI NA TATU (13) YA WAUGUZI NA WAKUNGA KUFANYIKA 21.03.2025 CHIMWAGA HALL – DODOMA

MAHAFALI YA KUMI NA TATU (13) YA WAUGUZI NA WAKUNGA KUFANYIKA 21.03.2025 CHIMWAGA HALL – DODOMA

Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania, anawataarifu wauguzi na wakunga wote waliopata sifa za kusajiliwa na Baraza baada ya kufaulu Mtihani wa Usajili na Leseni uliofanyika tarehe 20.12.2024 kuwa, Mahafali ya 13 ya

super-admin
On March 12, 2025
TAARIFA YA MAHAFALI YA 13 YA KITAALUMA

TAARIFA YA MAHAFALI YA 13 YA KITAALUMA

Download

super-admin
On March 12, 2025
MAADHIMISHO YA  MIAKA 72  YA TNMC

MAADHIMISHO YA MIAKA 72 YA TNMC

Kila ifikapo tarehe 19 machi ya kila mwaka Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania Huadhimisha miaka siku ya kuanzishwa kwa taasisi hii. Mwaka huu TNMC inatarajia kuadhimisha miaka 72 tangu kuanzishwa kwake mnamo 19 machi

super-admin
On March 11, 2025
Uncategorized
super-admin

WAZAZI TENGENI BAJETI YA KUWANUNULIA TAULO ZA KIKE WATOTO WENU

Na WAF, ARUSHAWazazi na walenzi nchini wametakiwa kuhakikisha wanawawezesha watoto wa kike kila mwezi kupata vifaa vyao vyakujilinda na kuwa na hedhi salama katika muda husika. Rai hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Molel wakati akizungumza kwenye kilele cha maadhimisho ya juma la hedhi Salama Duniani ambayo

Read More »
Uncategorized
super-admin

BARAZA TNMC LA SIKILIZA TUHUMA ZINAZOWAKABILI WAUGUZI NA WAKUNGA LEO

Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania linaendesha Kikao cha kawaida cha Baraza la Uuguzi na Ukunga cha robo ya tatu, kinatarajiwa kufanyika kwa siku mbili mfululizo tarehe 23 na 24/05/2024 kuanzia saa 03:00 asubuhi, katika ukumbi mdogo wa mikutano wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma Kikao kinaendeshwa na Mwenyekiti wa Baraza

Read More »
Uncategorized
super-admin

WAZIRI MCHENGERWA: WAGONJWA WANAHITAJI FARAJA KUTOKA KWA WAUGUZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mohamed Mchengerwa amewataka wauguzi kula kiapo cha utoaji wa huduma bora ikiwa ni pamoja na kuwapa wagonjwa faraja na msaada wa saikolojia.”Msiondoke hapa mpaka mle kiapo cha kutoa huduma bora kwa niaba ya wauguzi wengine wote walioko

Read More »
Uncategorized
super-admin

MAJALIWA: WAKUNGA ZINGATIENI WELEDI KWENYE UTOAJI WA HUDUMA.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Wakunga na wataalamu wengine wa afya nchini kufanya kazi kwa weledi na kuongeza bidii katika kutoa huduma kwa wananchi wanaowahudumia. Amesema kuwa kada zote za afya zinasimamiwa na miiko na maadili ya taaluma na miongozo iliyowekwa. “Hivyo basi kila mmoja ahakikishe anazingatia maelekezo

Read More »
Uncategorized
super-admin

Heri ya siku ya wafanyakazi Duniani / Mei Mosi 2024

Wafanyakazi wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) wameshiriki Katika Maadhimisho ya siku ya wafanyakazi Duniani yaliyofanyika katika uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma. Katika Maadhimisho hayo Mgeni rasmi ni Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary S. Senyamule Kauli mbiu ya Maadhimisho hayo inasema “Nyongeza ya Mishahara ni Msingi

Read More »
Uncategorized
super-admin

TNMC NA UKUSANYAJI WA MAONI YA SHERIA YA UUGUZI NA UKUNGA TANZANIA.

Baraza la uuguzi na ukunga Tanzania TNMC, limeendelea kukusanya maoni kwa wauguzi na wakunga wa Halmashauri za Wilaya za Wanging”ombe na Makete mkoani Jombe, zoezi hili linalengo la kuihuisha ili kuiboresha Sheria ya uuguzi na ukunga ya Mwaka 2010. Wakizungumza katika vikao maalumu vya kukusanya maoni hayo, wanataaluma hao wametoa

Read More »
Uncategorized
super-admin

TNMC YAWATUNUKU VYETI NA LESENI WAUGUZI NA WAKUNGA WAPYA 415.

Wauguzi na wakunga wapya 415 wametunukiwa vyeti na usajili na leseni katika Mahafali ya 11 ya kitaaluma  jijini Dodoma. Akifungua Mahafali hayo Mgeni Rasmi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania Prof. Lilian Msele ameipongeza Menejimenti ya Baraza kwa maandalizi ya mahafali hayo huku akiwataka wauguzi

Read More »
Uncategorized
super-admin

MSAJILI TNMC AMEWAPONGEZA WAUGUZI VIONGOZI KWA KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO

Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania Bi.Agnes Mtawa, amewapongeza wauguzi viongozi kwa kuendelea kutoa ushirikiano mkubwa katika utendaji wa majukumu ya Baraza katika maeneo yao ya kazi. “Nitumie fulsa hii kuwapongeza kwa kazi kubwa mnayoifanya huko kwenye maeneo yenu ninyi ni wasaidizi wangu, fanyeni kazi kupunguza malalamiko ya

Read More »
Uncategorized
super-admin

TUTATUE MIGOGORO MIDOGOMIDOGO KAZINI KWETU

Rais wa Chama cha Wauguzi Tanzania(TANNA) Bwana Alexanda Balulya, amesema kuna umuhimu wa kushirikiana katika utendaji kazi wawapo vituo vya kazi na kuiheshimu tasnia ya Uuguzi na Ukunga nchini. “Ubaguzi wakitaaluma hautakiwi katika utendaji kazi, tutunziane heshima na mapungufu ya kitaaluma huku tukiitatua migogoro midogo midogo katika tasnia yetu tusikimbilie

Read More »