
NI LAZIMA TUZALISHE WAUGUZI NA WAKUNGA WENYE WELEDI
“Ilituweze kuboresha huduma ya jamii inatakiwa kuwa na wauguzi wenye sifa ya kuhudumia jamii, “ni kweli tukubali kuwa tupo na shida ya walimu wasio na sifa ya kufundisha wanafunzi haiwezekani mwalimu umetoka chuo ukaenda kufundisha wanafunzi wakati hujawahi kufanya kazi kwa vitendo” Bi. Ziada. Bi.ziada ameongeza kuwa kuna umuhim mkubwa